Tetesi: Polisi na Wananchi

simpendi polisi hata akiwa jirani yangu sipendi. polisi akifa au kufiwa natafuta safar niondoke mtaani ili nisishiriki msiba
Sababu:
polisi hawatumii reasoning katika maamuzi yao mengi... tangu wanipore simu yangu kwa makosa ya siber ambayo kwakweli hayakuwa na ukweli nawachukia sana. nitamgonga mmoja kwa gar hadi nimuue na kisha nimpeleke hospital mwenyewe
 
Aiseee! mbona unafikiria kinyumenyume sana, ni polisi wa wapi hao walikufanyia hivyo?
 
Kuna wakati utawatamani hao polisi na hutawapata ndiyo utajua maana ya maneno yako. Endelea kuwachukia hata ukivamiwa na majambazi usiende polisi nenda kwa wahalifu wengine ukawashtakie huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeshaenda kote, baada ya kujua wote ni wapuuzi niliamua kuwaacha naendlea kivyangu nimepata simu nyingine maisha yanaendlea.
Bado hujaenda kwa wote ila fahamu kua km hiyo simu ni kielelezo huwezipata mpk kesi iishe mahakamani. Kinyume na hapo nenda hata kwa mkuu wa mkoa au TAKUKURU kwakua km simu yako inashikiliwa kinyume na taratibu hayo yatakua matumizi mabaya ya madaraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuaje wakakupora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
polisi wa tanzania.... niliwambia wanipeleke mahakamani hawajanipeleka na simu yangu wanayo hadi leo.... nilitoka ndani na kukuta wamechukua na pesa zangu. pumbavu
Ni kituo gani hicho?
 
Mama fanya kama unajikuna sehemu zooote za mwili wako [emoji2150][emoji2150][emoji2369][emoji2369][emoji3447][emoji3447][emoji3447][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nawachukia sana hasa kwa tukio walilowahi kunifanyia hapa kijiweni kwangu ninapouziaga majeneza
Yaani nashukuru Mungu mpaka sasa mmoja wapo alikufa miezi kadhaa iliyopita kwa ajali bado hawa wawili naomba Mungu afanye muujiza mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati utawatamani hao polisi na hutawapata ndiyo utajua maana ya maneno yako. Endelea kuwachukia hata ukivamiwa na majambazi usiende polisi nenda kwa wahalifu wengine ukawashtakie huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali jambazi anakuvamia ukijua ni jambazi kuliko polisi anayetumia magwanda kukupa kesi na kukupiga virungu bila kosa na kukusachi halafu pesa na simu wanachukua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…