Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Polisi nchini humo wanamsaka Mwanaume mmoja kwa madai ya kutengeneza pombe haramu kwa taulo za kike zisizotumika katika eneo la Nthawa, baada ya mshukiwa kutoroka Polisi wapovamia makazi yake kufuatia taarifa kutoka kwa wasamaria wema
Kamishna wa Kaunti ya eneo hilo Eddyson Nyale amesema Mfanyabiashara huyo anahatarisha maisha ya wengi kwani walikuta Mamia ya lita za kilevi hicho zikiwa zimechanganywa na taulo za kike ambapo walizichukua kwa ajili ya uchunguzi zaidi
Aidha, Mfanyabiashara huyo anatajwa kuwa kwenye orodha ya Polisi ya wazalishaji wa vinywaji haramu wanaosakwa zaidi
========
Police are pursuing a man who was found manufacturing illicit brews with unused sanitary towels in Nthawa, Embu County. The suspect took off when police raided his premises on Friday following a tip-off from the public.
Area County Commissioner Eddyson Nyale and Police Commander Daniel Rukunga led the officers in the operation in Mbeere North. They found the alcoholic drink being mixed with sanitary towels.
However, the owner fled, with the officers in hot pursuit.
Hundreds of litres of the brew and a consignment of sanitary towels were confiscated.
Dr Nyale said police would not rest until the suspect was arrested and prosecuted. The trader is endangering the lives of residents and will not be spared,” he said.
He said the county security team was on high alert as the manufacturing of unlawful liquors was rising.
He said the trader was on the police list of most wanted brewers.
SOURCE: NTV KENYA
Kamishna wa Kaunti ya eneo hilo Eddyson Nyale amesema Mfanyabiashara huyo anahatarisha maisha ya wengi kwani walikuta Mamia ya lita za kilevi hicho zikiwa zimechanganywa na taulo za kike ambapo walizichukua kwa ajili ya uchunguzi zaidi
Aidha, Mfanyabiashara huyo anatajwa kuwa kwenye orodha ya Polisi ya wazalishaji wa vinywaji haramu wanaosakwa zaidi
========
Police are pursuing a man who was found manufacturing illicit brews with unused sanitary towels in Nthawa, Embu County. The suspect took off when police raided his premises on Friday following a tip-off from the public.
Area County Commissioner Eddyson Nyale and Police Commander Daniel Rukunga led the officers in the operation in Mbeere North. They found the alcoholic drink being mixed with sanitary towels.
However, the owner fled, with the officers in hot pursuit.
Hundreds of litres of the brew and a consignment of sanitary towels were confiscated.
Dr Nyale said police would not rest until the suspect was arrested and prosecuted. The trader is endangering the lives of residents and will not be spared,” he said.
He said the county security team was on high alert as the manufacturing of unlawful liquors was rising.
He said the trader was on the police list of most wanted brewers.
SOURCE: NTV KENYA