Polisi nchini Kenya watumia mabomu kuwatawanya waandamanaji Kisumu

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Polisi nchini Kenya walazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji wanaoshinikiza baadhi ya viongozi wa IEBC kujiuzulu.

Hii ni baada ya waandamaji hao kuchoma moto matairi na kufunga barabara katika maeneo ya Kisumu.
Uchaguzi wa marudio nchini humo unatarajiwa kufanyika Oktoba 26.


ITV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…