Polisi nchini Nigeria wachunguza kifo cha Mbunge aliyekatwa kichwa

Polisi nchini Nigeria wachunguza kifo cha Mbunge aliyekatwa kichwa

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
1653288409727.png

Polisi nchini Nigeria wanachunguza kukatwa kichwa kwa mbunge wa jimbo la kusini-mashariki la Anambra ikiwa ni wiki moja baada ya watu wenye silaha kumteka nyara pamoja na msaidizi wake.

Mwili wa Okechukwu Okoye ulipatikana mwishoni mwa juma ukiwa na majeraha ya kukatwa ambapo Gavana wa jimbo la Anambra Charles Soludo amelaani mauaji hayo na kusema ni ya kinyama, na ya kushtua.

Hadi sasa mamlaka hazijabaini aliye nyuma ya mauaji hayo japokuwa zawadi kubwa imetangazwa kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazowezesha kukamatwa kwa wahusika

..........................

Police in Nigeria are investigating the beheading of a local MP in the south-eastern state of Anambra barely a week after gunmen kidnapped him along with an aide.

The discovery of Okechukwu Okoye's mutilated body over the weekend has sparked outrage.
Anambra's state governor Charles Soludo described the killing as gruesome, barbaric and shocking.

He announced a reward for information leading to the killers' capture.
It's not clear who was behind the attack.
Officials have blamed a banned separatist group for increasing violence in the region.

The Indigenous People of Biafra, which is campaigning for a breakaway state, has denied involvement in recent attacks.
Its leader, Nnamdi Kanu, is standing trial for terrorism and treason-related charges which he has denied.

Source: BBC
 
Very bad. Unamuua binadamu mwenzako kwa kumchinja? Aisee, binadamu katili zaidi ya mnyama
 
Kwa kuwa ni mbunge polisi inahangaika sana,ila kiukweli wapo wengi wanaochinjwa kila siku na wengine kupotezwa kimya kimya
Na hakuna hatua yeyote inayochukuliwa
 
Watu ni wasaulifu sana. Hata hapa kuna kipindi watu walikuwa wakiuwawa na miili kupatikana ikielea baharini na wala serikali haikusema chochote.

Kuna diwani wa Chadema Bw. Godfrey Lwena (Rip) kule Ifakara naye alitekwa hivyo hivyo na watu wasiojulikana na kwenda kuuwawa kinyama.

Daniel John naye wa Chadema, alitekwa na watu wasiojulikana jijini Dar Es Salaam na kwenda kuuwawa kinyama na maiti yake kupatikana kwenye ufukwe wa bahari jijini Dar, yapo na mengine mengi tu kwa hiyo sio Nigeria tu.
 
Hata Arusha kule kijn mmoja jirani angu ameuwawa kwa kukatwa na panga moja Kali na kutenganisha kchwa na kiwiliwili
 
Hakuna mafundisho yoyote ya dini yoyote duniani yanaekekeza hilo tendo,pathetic!
Haya Mafundisho ni ya deen/Imani gan??; na ukiyafuata na kuyaishi unafuzu??
[emoji116][emoji116]
وَدُّوا لَوْ تَكْفُرُونَ كَمَا كَفَرُوا فَتَكُونُونَ سَوَاءً ۖ فَلَا تَتَّخِذُوا مِنْهُمْ أَوْلِيَاءَ حَتَّىٰ يُهَاجِرُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ ۚ فَإِن تَوَلَّوْا فَخُذُوهُمْ وَاقْتُلُوهُمْ حَيْثُ وَجَدتُّمُوهُمْ ۖ وَلَا تَتَّخِذُوا مِنْهُمْ وَلِيًّا وَلَا نَصِيرًا

[ AN-NISAAI - 89 ]
Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Mwenyezi Mungu. Na wakikengeuka basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi.

قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ

[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
 
Back
Top Bottom