Ndio
haji kawaharibu mashabiki wa simbaYanga wamepigwa kabali na Manjagu.
Kama kawaida yao Mkuu.
Mkuu nakuona unavyowasanifu vyura!Ila Yanga tunapiga pasi sana Barca haoni ndani.
Acha hizo nyie mikia na mambumbu.Sare nyingine hii kwa Vyura fc
Wazee wa kutembea juu ya mpira ubingwa watausikia redioni.
Simba nguvu moja
Maafande wamekesha na SMG Moshi nzima mzee wa roba ikabidi alale mbeleMzee wa ' Viwiko' vipi ? Leo kaja na nini kipya ?
Hao Coastal sijui kama wataawaacha salama.Sare tatu mfululizo
Ni sawa na kufungwa mechi mbili
Na leo katoka kupigwa na Ruvu,tutegemee sare nyingineHao Coastal sijui kama wataawaacha salama