Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Polisi wao ni watekelezaji wa sheria, Bunge ni watungaji wa Sheria baada ya CPD kuzipitia.
Mapenedekezo yanatoka katika idara husika.
Sasa, Bodaboda zina plate number kwa nyuma tu ila mbele hazipo na hazina, akifanya uhalifu huwezi kuona , hili jambo TR na Polisi wahusike
Camera za usalama zitakazofungwa barabarani hasa mwendokasi hazitosaidia kama vyombo hivi havitakuwa na plate number, lakini pia hizi pikipiki na babjaj za umeme sasa ziwekewe namba, zinagonga magari, zinafanya uhalifu basi zitungiwe sheria.
Mapenedekezo yanatoka katika idara husika.
Sasa, Bodaboda zina plate number kwa nyuma tu ila mbele hazipo na hazina, akifanya uhalifu huwezi kuona , hili jambo TR na Polisi wahusike
Camera za usalama zitakazofungwa barabarani hasa mwendokasi hazitosaidia kama vyombo hivi havitakuwa na plate number, lakini pia hizi pikipiki na babjaj za umeme sasa ziwekewe namba, zinagonga magari, zinafanya uhalifu basi zitungiwe sheria.