Polisi Uganda: Kifo cha Ziggy Wine kimesababishwa na ajali ya pikipiki

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Police nchini uganda wamesema katika uchunguzi wao kifo cha Ziggy Wyne kimesababishwa na ajali ya pikipiki yake aliyo kuwa akiendesha mwenyewe sasa,ww tizama kwa makini picha zote za pikipiki ambayo police wanasema niya Ziggy Wine alafu tizama kwa makini pikipiki aliyo kalia Ziggy Wine ambayo ndo yake mwenyewe.



 
Whaaat[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Nilisikia BBC Asubuhi nikacheka Sana....Kwa huzuni...na kwa mshangao ila nikapigia mstari na This is Africa
 
Sehemu ya tank LA mafuta naona pana tofautiana kwa rangi,,,,,,labda kama wameibadili haraka na kupiga picha
 
[emoji3061][emoji3061][emoji3061]
 
[emoji3061][emoji3061][emoji3061]
 
Jeshi la Uganda wangemkodisha Kamanda Kova awaandikie hii script.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…