Hivi wewe kwanini hueleweki?, hapa kinachozungumzwa ni Kenya, wewe unarudisha Tanzania, nani aliyekuambia kwamba kwasababu yanafanyika Tanzania kwahiyo ni halali kufanyika Kenya?, hapa Tanzania tuambia ni watu wangapi waliouliwa wakati wakiandamana?, watu wanazungumzia kinachoendelea Kenya, wanalaani mauaji yanayofanya na polisi huko Kenya, wewe unataka wakae kimya ili huku nako watu wakiuliwa wakenya wasilaani nao wakae kimya?Huna hoja!! Kwani aliwaalika hao wafuasi wake wajitokeze kumlaki?! Kuna mambo ya kutumia akili tu na jambo likapita.
Hapa kwetu napo siku ya kurudia Lissu hatakuwa haya haya . Watawala hawapendi kuona mtu mwingine ana aminika na wananchi !! Na hapo Ndipo ilipo shida, siyo kabila la mtu!!
Naeleweka sana, ninachosema ni kuwa yanayotokea Kenya yamewahi na yanatokea EAC yote!! Kwetu hapa mauaji yametokea mengi na makubwa kuliko hayo ya Kenya eg 2001 Zanzibar!! Nani alilaani?! Si mkenya wala mnyarwanda !!Arusha (ollasiti) nani amelaani?! Si mrundi wala mganda. Tunafanana sema kidogo wapinzani wa Tz busara ya kujizuia ipo!! Ukuta 2016 wasingejizuia mauaji yangalikuwa makubwa zaidi. Wenzetu huko hawajizuiiHivi wewe kwanini hueleweki?, hapa kinachozungumzwa ni Kenya, wewe unarudisha Tanzania, nani aliyekuambia kwamba kwasababu yanafanyika Tanzania kwahiyo ni halali kufanyika Kenya?, hapa Tanzania tuambia ni watu wangapi waliouliwa wakati wakiandamana?, watu wanazungumzia kinachoendelea Kenya, wanalaani mauaji yanayofanya na polisi huko Kenya, wewe unataka wakae kimya ili huku nako watu wakiuliwa wakenya wasilaani nao wakae kimya?
Hivi umeona support aliyonayo? MTU kama Yule huwezi deal nae kijinga.Huyo Mjaluo pia Muhuni ana haribu nchi, akubali yaishe, bahati yake yupo kenya angekuwa kwa mseven angekua hana Meno leo. Uwezi fanya nchi iwe na vurumai kila siku, japo sisapoti wakichofanya polisi kurusha mawe kwa raia na magari lakn pia Kenya inahtaji kufanya vitu vingine vya msingi sasa nyang'au mmoja tu anaondoa amani
Kwa hiyo sababu anajua ana support ya watu wengi ni iwe kigezo cha kuleta machafuko...kisa uongozi....kwa nn asitumie huo umashuhuri wake positively ili watu wasipoteze maisha bila sababu za msingi...sisi miafrika sijui tunanatatizo gani tu...??Huku wakina Kagame wanaua wapinzani, ukienda Zimbabwe hakueleweki, Tz chokochoko zimeanza za ajabuajabu, Burundi ndo shida tu, Sudan ya Kusini ndo vita vya nje nje....Kenya ndo akili zote Odinga anacontrol...HAKUNA mtu wa kushauri mwenzake..East Africa inawakati mgumu sanaHivi umeona support aliyonayo? MTU kama Yule huwezi deal nae kijinga.
It will cost a nation, like 2007. Usimlinganishe Odinga na wapinzani uchwara wengineo EA.
Hahaha sasa hio namba moja ikoje!?Wazungu hawakoseagi aisee
Kenyan police ranked world's third worst by World Internal Security and Police Index
chadema wenzangu wanao sapoti serikali ya uhuru njooni hapa tu comment ushabiki
Mauaji yote yanayotokea watu wote wanalaani, mauaji ya Zanzibar yalipotokea, dunia nzima ilipiga kelele kama utakumbuka hadi ikaundwa tume ya jumuia ya madola kuja kusuluisha na Zanzibar iliwekewa vikwazo na jumuiya za kimataifa, au kulaani unakotaka wewe ni kupi?, idadi hadi sasa inayojulikana waliokufa Zanzibar ni 27 kulingana na serikali na 32 kulingana na jumuia za kimataifa, ndiyo mauaji makubwa kati historia ya Tanzania kutokea kwa pamoja, Kenya katika kipindi hiki pekee tangu August hadi sasa kabla ya jana ni watu 37, ukiongeza hawa watano wa jana ni 42, hiyo ni mbali na wale waliokufa 2007 ambao ni zaidi ya 1200, sasa wewe unaposema Tanzania mauaji ni zaidi ya Kenya unatoa wapi hizo data zako zaidi ya kutaka kuzungumzia ushabiki na udaku?Naeleweka sana, ninachosema ni kuwa yanayotokea Kenya yamewahi na yanatokea EAC yote!! Kwetu hapa mauaji yametokea mengi na makubwa kuliko hayo ya Kenya eg 2001 Zanzibar!! Nani alilaani?! Si mkenya wala mnyarwanda !!Arusha (ollasiti) nani amelaani?! Si mrundi wala mganda. Tunafanana sema kidogo wapinzani wa Tz busara ya kujizuia ipo!! Ukuta 2016 wasingejizuia mauaji yangalikuwa makubwa zaidi. Wenzetu huko hawajizuii
Africa hasa Africa mashariki ni mbaya zaidi. Watawala kupitia police huwaona wananchi wao kama maadui zao. Kenya imeingia mtego huo. Katika siasa bora kidogo sasa Africa magharibi, watawala wanapata shinikizo la kukubali maamuzi ya wananchi .
Tumelaaniwa.....au ni logo au kitu gani sijui.Mimi nafikiri EAC yote ni mbovu na hakuna aliye salama, na wala wakumsuta mwenzie
Mleta mada Unasahau wa hapa kwetu mwaka jana walipiga mazoezi mpaka na MIZINGA ati kisa ukuta?! Africa hasa mashariki ni zaidi ya aibu. Uganda, Tz, Burundi, Rwanda, Kenya & S Sudan hakuna wa knyoshea mwenzie mikono!!
Bado huwezi kuifananisha Kenya na nchi wanachama wenzake wa Afrika Mashariki..chadema wenzangu wanao sapoti serikali ya uhuru njooni hapa tu comment ushabiki