matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Huwa naangalia video jinsi vikosi maalumu vya Kenya Haiti wanavyokomaa mtaani kupambana na magenge ya waarifu huko Haiti.
Wale jamaa ukwaangalia na kiongozi wao Babacue ni watu waliokata tamaa na maisha. Hawana cha kupoteza. Ndio maana wazungu wamekwepa hilo jukumu na kutafuta umasikini mwenzao mke ya aingulie Kati.
Watu hawana Uniform, wahuni wanafanana na Raia, wakati mapolisi Hao wa Kenya wanayuniform, rahisi kuwaona na kuwavizia mtaani.
Najiuliza kwa nini Kenya? Wa apata faida gani? Mbona kuna nchi nyingi tu zenye uwezo mkubwa na ziko carrebean au kusini au kaskazini mwa US wamewaacha hadi kuja kutafuta Kenya ambao Gen Z tu wanawatoa jasho?
Wajuvi mtujuze.
Wale jamaa ukwaangalia na kiongozi wao Babacue ni watu waliokata tamaa na maisha. Hawana cha kupoteza. Ndio maana wazungu wamekwepa hilo jukumu na kutafuta umasikini mwenzao mke ya aingulie Kati.
Watu hawana Uniform, wahuni wanafanana na Raia, wakati mapolisi Hao wa Kenya wanayuniform, rahisi kuwaona na kuwavizia mtaani.
Najiuliza kwa nini Kenya? Wa apata faida gani? Mbona kuna nchi nyingi tu zenye uwezo mkubwa na ziko carrebean au kusini au kaskazini mwa US wamewaacha hadi kuja kutafuta Kenya ambao Gen Z tu wanawatoa jasho?
Wajuvi mtujuze.