Idadi kubwa ya askari polisi FFU imepelekwa wilayani kilindi ili kuongeza nguvu kwa askali wenzao ambao inaonekana kuzidiwa nguvu na kundi lililofanya vurugu iliyosababisha kujeruhiwa kwa risasi OCD wa Kilindi.
Kundi hilo liliwasili hapa handeni majira ya saa 5 usiku, likitokea kibaha pwani, na lilikua linaongozwa na mkuu wa wilaya ya kibaha. Msafara huo ulipita kuonana na mkuu wa wilaya ya handeni ili kupata maelekezo toka kwa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa tanga, ambao walikutana hapa handeni kujadili hali tete ya handeni.
Kikao hicho kilidumu takribani masaa 5 tangia saa 9 hadi 1 ucku. Kikao hicho kilifanyika HILL TOWN HOTEL.
Kundi hilo liliwasili hapa handeni majira ya saa 5 usiku, likitokea kibaha pwani, na lilikua linaongozwa na mkuu wa wilaya ya kibaha. Msafara huo ulipita kuonana na mkuu wa wilaya ya handeni ili kupata maelekezo toka kwa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa tanga, ambao walikutana hapa handeni kujadili hali tete ya handeni.
Kikao hicho kilidumu takribani masaa 5 tangia saa 9 hadi 1 ucku. Kikao hicho kilifanyika HILL TOWN HOTEL.