Rais Marc Ravalomanana alipokuwa Meya wa Antananarivo naye aliwahi kuongoza maandamano kama haya. Wanaua watu 23, kweli viongozi wetu wa kiafrika hutunza uongozi wao kwa njia yoyote. Manake watu wakirushiwa tu mabomu ya machozi ama maji hukimbia, sasa nguvu zote hizi mpaka kutumia risasi za moto za nini?. Pole kwa wafiwa.