Tetesi: Polisi wa mtafuta mtu aliyejiua nchini Thailand

Tetesi: Polisi wa mtafuta mtu aliyejiua nchini Thailand

stujadiliane

Member
Joined
Jun 2, 2017
Posts
66
Reaction score
84
Polisi nchini Thailand wanamtafuta mtu mmoja aliyejiua na kutokomea kusiko julikana ili ajibu mashitaka ya kutesa kujerui na kujisababishia mauti

kesi hii ya ajabu na yaaina yake imefunguliwa na Mke wa jamaa huyo akimtuhumu kutelekeza watoto na kumuachia majukumu ya kulea watoto wao wawili ambao ni ken na Lisa
Polisi wameapa kuhakikisha wana mpata na kumrudisha ili ajibu mashitaka yanayo mkabili.Hakimu mkuu amewataka polisi kukamilisha upelelezi mapema ili kesi ianze kusikilizwa mapema na kutolewa uamuzi
 
Polisi nchini Thailand wanamtafuta mtu mmoja aliyejiua na kutokomea kusiko julikana ili ajibu mashitaka ya kutesa kujerui na kujisababishia mauti

kesi hii ya ajabu na yaaina yake imefunguliwa na Mke wa jamaa huyo akimtuhumu kutelekeza watoto na kumuachia majukumu ya kulea watoto wao wawili ambao ni ken na Lisa
Polisi wameapa kuhakikisha wana mpata na kumrudisha ili ajibu mashitaka yanayo mkabili.Hakimu mkuu amewataka polisi kukamilisha upelelezi mapema ili kesi ianze kusikilizwa mapema na kutolewa uamuzi
kweli ccm chama dola hadi Thailand: akili za kudai mikojo ya watu
 
Naomba tujadiri mada hili nitukio la kweli siyo fumbo.Mimi sijaitaja ccm wala kuilenga hili nijambo ambalo ni melikuta hapa Thailand ni ukweli
 
Aisee Ama kweli Lumumba ni ukoma, kwahiyo had huko Thailand mmesambaza usizonje?

Sent From Kisana Kiki Iphone
 
Naomba tujadiri mada hili nitukio la kweli siyo fumbo.Mimi sijaitaja ccm wala kuilenga hili nijambo ambalo ni melikuta hapa Thailand ni ukweli
Hahahahaaa! Mjadala upi tena mkuu? Hao askari ni "wapumbavu" sana. Sasa weye unadhani au ulisikia nani waliitwa wapumbavu na Sizonje? Hakika wapumbavu wapo sehemu nyingi duniani.
 
Polisi nchini Thailand wanamtafuta mtu mmoja aliyejiua na kutokomea kusiko julikana ili ajibu mashitaka ya kutesa kujerui na kujisababishia mauti

kesi hii ya ajabu na yaaina yake imefunguliwa na Mke wa jamaa huyo akimtuhumu kutelekeza watoto na kumuachia majukumu ya kulea watoto wao wawili ambao ni ken na Lisa
Polisi wameapa kuhakikisha wana mpata na kumrudisha ili ajibu mashitaka yanayo mkabili.Hakimu mkuu amewataka polisi kukamilisha upelelezi mapema ili kesi ianze kusikilizwa mapema na kutolewa uamuzi

Kaka tuwekee link tujisomee wenyewe huenda umeelewa tofauti. Ki-polisi huwa hakuna kufungua jarada la kuua au kujiua pale ambapo mwili wa marehemu haupo kama ushahidi wa wazi kuwa mtu huyo kajiua au kauawa. Pale ambapo mtu anasemekana ameuawa au amejiua lakini mwili wake hauonekani huwa linafunguliwa jarada la KUTAFUTA MTU ALIYEPOTEA hua hakuna madder case pasipo mwili wa marehemu. Hayo ya kutelekeza familia yanafuata baadaye!
 
Naomba tujadiri mada hili nitukio la kweli siyo fumbo.Mimi sijaitaja ccm wala kuilenga hili nijambo ambalo ni melikuta hapa Thailand ni ukweli

Usiwalaumu wanaoinanga CCM rudia vizuri kusoma ulichokiandika kiko kibaa shiit (Kikihiyo) tupe link tujionee wenyewe au umekutana na polisi wa Thailand Baa akakusimulia kilevi umeandika ukiwa umelewa? Je tukio hilo halipo kwenye vyombo vya habari?
 
Hii kesi iko kwenye moja ya mahakama Hapa Thailand ngoja nitatafuta gazeti nipige picha ni waweekee acha kuwa wabishi wazungu wamechanganyikiwa. Je hukumbuki ile kesi nchini marekani ambayo jamaa mmoja alimushitaki Mungu? Huyu mama a nataka Roho ya mumewe ipatikane ili ajibu mashitaka ya kumuacha mjane
 
Polisi nchini Thailand wanamtafuta mtu mmoja aliyejiua na kutokomea kusiko julikana ili ajibu mashitaka ya kutesa kujerui na kujisababishia mauti

kesi hii ya ajabu na yaaina yake imefunguliwa na Mke wa jamaa huyo akimtuhumu kutelekeza watoto na kumuachia majukumu ya kulea watoto wao wawili ambao ni ken na Lisa
Polisi wameapa kuhakikisha wana mpata na kumrudisha ili ajibu mashitaka yanayo mkabili.Hakimu mkuu amewataka polisi kukamilisha upelelezi mapema ili kesi ianze kusikilizwa mapema na kutolewa uamuzi
"Aliyejiua na kutokomea kusikojulikana" Inawezekana kweli !!?
 
Na tumaini huu ni utani tu .
Ingelikuwa ni kitu Cha kweli ungeleta
Maelezo zaidi na hata ka evidence kadogo tu .
 
Back
Top Bottom