Polisi wa utawala wajitayarisha kwa uchaguzi ndani ya kambi ya KDF inayoitwa IPSC

Polisi wa utawala wajitayarisha kwa uchaguzi ndani ya kambi ya KDF inayoitwa IPSC

Kafrican

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
7,251
Reaction score
7,037
Polisi wa utawala (Administration Police) wakipewa usaidizi na KDF walikua wanajitayarisha kuhakikisha upigaji kura utafanyika kiusalama kwani wako tayari kumudu mtu yoyote atakaeleta ghasia..



Kama we ni mwananchi wa kawaida, Ukimaliza kupiga kura enda ukalale au ungojee watokeo nyumbani mwako kupitia runinga au redio, usitafute shida kwani hawa jamaa FFU naona mwaka huu wamejitayarisha vilivyo
 
All i can say is dont piss majority of the population

Watu wakichoka hata uje na tank watakumaliza tu hapo you will not kill 100 people.....but they will most definately kill you!!

Dont make Kenya
Libya
Syria or
Iraq
Just respect the constitution....hakuna Mahali imesema ukisha piga kura nenda Nyumbani!!
 
Mabadiliko huja maumivu yakiuzidi woga. Ni kuheshimu taratibu tu basi
 
Back
Top Bottom