Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea

Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea

BabaMia

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2024
Posts
270
Reaction score
554
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limeanza kufuatilia taarifa ya kupotea kwa Daisle Simon Ulomi, mfanyabiashara ambaye hakurudi nyumbani kwake toka alipoingia kazini kwake siku ya tarehe 11 Desemba, 2024 baada ya taarifa ya kutafutwa kupokelewa katika kituo cha Polisi Chang’ombe, Temeke mnamo Desemba 12, 2024.

Taarifa ya leo Desemba 14, 2024 iliyotolewa na Kamanda Kanda Maalum ya Polisi, Dar es Salaam SACP Muliro J Muliro imeeleza kuwa siku hiyo Mfanyabiashara huyo alionekana akitoka Ofisini kwake Sinza Kijiweni majira ya saa 6:00 mchana kuelekea Mbagala, Bandari kavu alikodai anaenda kukagua ‘container’ la bidhaa zake baada yakuitwa na watu aliodai ndiyo waliokuwa wanashughulika na kutoa kontena hilo bandarini na alikuwa akitumia pikipiki namba MC 415 DQC aliyokuwa akiendesha mwenyewe.

Jeshi la Polisi limesema linafuatilia taarifa hiyo kwa kushirikiana na ndugu ili kujua na kubaini mtu huyo yupo wapi huku likitoa wito kwa yeyote mwenye taarifa kuhusiana na mtu huyo azitoe kwenye mamlaka yoyote ya Serikali iliyo karibu yake.
1734193457728.jpg
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limeanza kufuatilia taarifa ya kupotea kwa Daisle Simon Ulomi, mfanyabiashara ambaye hakurudi nyumbani kwake toka alipoingia kazini kwake siku ya tarehe 11 Desemba, 2024 baada ya taarifa ya kutafutwa kupokelewa katika kituo cha Polisi Chang’ombe, Temeke mnamo Desemba 12, 2024.

Taarifa ya leo Desemba 14, 2024 iliyotolewa na Kamanda Kanda Maalum ya Polisi, Dar es Salaam SACP Muliro J Muliro imeeleza kuwa siku hiyo Mfanyabiashara huyo alionekana akitoka Ofisini kwake Sinza Kijiweni majira ya saa 6:00 mchana kuelekea Mbagala, Bandari kavu alikodai anaenda kukagua ‘container’ la bidhaa zake baada yakuitwa na watu aliodai ndiyo waliokuwa wanashughulika na kutoa kontena hilo bandarini na alikuwa akitumia pikipiki namba MC 415 DQC aliyokuwa akiendesha mwenyewe.

Jeshi la Polisi limesema linafuatilia taarifa hiyo kwa kushirikiana na ndugu ili kujua na kubaini mtu huyo yupo wapi huku likitoa wito kwa yeyote mwenye taarifa kuhusiana na mtu huyo azitoe kwenye mamlaka yoyote ya Serikali iliyo karibu yake.
Karibu kila anayepotezwa au kutekwa ni mchagga, kulikoni?
 
Tumerudi nyuma atua nyingi sana

Tumerudi nyuma atua nyingi sana
Mtu mmoja kwenye kipindi cha malumbano ya hoja ITV juzi alhamis alipendekeza ziwekwe CCTV camera mitaa yote. Nikaona inawezekana, kwa sababu alichambua camera moja ni laki 750,000 tu. Nami nashauri hata tungechangishana kimtaa tungenunua hata 4. Tukio likitokea tunarejea tu na upelelezi unaanzia hapo.
 
Mtu mmoja kwenye kipindi cha malumbano ya hoja ITV juzi alhamis alipendekeza ziwekwe CCTV camera mitaa yote. Nikaona inawezekana, kwa sababu alichambua camera moja ni laki 750,000 tu. Nami nashauri hata tungechangishana kimtaa tungenunua hata 4. Tukio likitokea tunarejea tu na upelelezi unaanzia hapo.
Hii ni nzuri ila ilikuwaje kwa TL kamera hazikuwepo. Jibu zikuwepo lakini mpk leo hakuna lililofanyika. Tuache hilo twende kwa kibao lile basi halikuwa nà kamera jibu zilikiwepo. Jibu ni tubadilike kuuwana au mtu kukupinga siyo umtoe roho. Kutoa roho tumuachi Islaeli peke yake binaadamu tuheshimiane tuu.
 
Hii ni nzuri ila ilikuwaje kwa TL kamera hazikuwepo. Jibu zikuwepo lakini mpk leo hakuna lililofanyika. Tuache hilo twende kwa kibao lile basi halikuwa nà kamera jibu zilikiwepo. Jibu ni tubadilike kuuwana au mtu kukupinga siyo umtoe roho. Kutoa roho tumuachi Islaeli peke yake binaadamu tuheshimiane tuu.
Hizo camera ziwekewe utaratibu controller tuwe wenyewe wakazi. Kwa tundu lisu sijui controller alikuwa nani. Na ziling'ilewa basi ilikuwa makusudi na ilipangwa. Ila matukio mengine huenda ni ya kihalifu tu.
 
Hizo camera ziwekewe utaratibu controller tuwe wenyewe wakazi. Kwa tundu lisu sijui controller alikuwa nani. Na ziling'ilewa basi ilikuwa makusudi na ilipangwa. Ila matukio mengine huenda ni ya kihalifu tu.
Unafikiri wataruhusuuu ikontroo hizo kamera thubutu.
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limeanza kufuatilia taarifa ya kupotea kwa Daisle Simon Ulomi, mfanyabiashara ambaye hakurudi nyumbani kwake toka alipoingia kazini kwake siku ya tarehe 11 Desemba, 2024 baada ya taarifa ya kutafutwa kupokelewa katika kituo cha Polisi Chang’ombe, Temeke mnamo Desemba 12, 2024.

Taarifa ya leo Desemba 14, 2024 iliyotolewa na Kamanda Kanda Maalum ya Polisi, Dar es Salaam SACP Muliro J Muliro imeeleza kuwa siku hiyo Mfanyabiashara huyo alionekana akitoka Ofisini kwake Sinza Kijiweni majira ya saa 6:00 mchana kuelekea Mbagala, Bandari kavu alikodai anaenda kukagua ‘container’ la bidhaa zake baada yakuitwa na watu aliodai ndiyo waliokuwa wanashughulika na kutoa kontena hilo bandarini na alikuwa akitumia pikipiki namba MC 415 DQC aliyokuwa akiendesha mwenyewe.

Jeshi la Polisi limesema linafuatilia taarifa hiyo kwa kushirikiana na ndugu ili kujua na kubaini mtu huyo yupo wapi huku likitoa wito kwa yeyote mwenye taarifa kuhusiana na mtu huyo azitoe kwenye mamlaka yoyote ya Serikali iliyo karibu yake.View attachment 3176719
Utajiri wa Mafwere uchunguzwe
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limeanza kufuatilia taarifa ya kupotea kwa Daisle Simon Ulomi, mfanyabiashara ambaye hakurudi nyumbani kwake toka alipoingia kazini kwake siku ya tarehe 11 Desemba, 2024 baada ya taarifa ya kutafutwa kupokelewa katika kituo cha Polisi Chang’ombe, Temeke mnamo Desemba 12, 2024.

Taarifa ya leo Desemba 14, 2024 iliyotolewa na Kamanda Kanda Maalum ya Polisi, Dar es Salaam SACP Muliro J Muliro imeeleza kuwa siku hiyo Mfanyabiashara huyo alionekana akitoka Ofisini kwake Sinza Kijiweni majira ya saa 6:00 mchana kuelekea Mbagala, Bandari kavu alikodai anaenda kukagua ‘container’ la bidhaa zake baada yakuitwa na watu aliodai ndiyo waliokuwa wanashughulika na kutoa kontena hilo bandarini na alikuwa akitumia pikipiki namba MC 415 DQC aliyokuwa akiendesha mwenyewe.

Jeshi la Polisi limesema linafuatilia taarifa hiyo kwa kushirikiana na ndugu ili kujua na kubaini mtu huyo yupo wapi huku likitoa wito kwa yeyote mwenye taarifa kuhusiana na mtu huyo azitoe kwenye mamlaka yoyote ya Serikali iliyo karibu yake.View attachment 3176719
TRA wanasemaje
 
Back
Top Bottom