Polisi wafanya unyama mpya mgodini Nyamongo

Ipo siku raia tutachoka.vibanda vyenu vyote tutavitia match box,hapo itakuwa mbwai mbwai.
 

Radhia!! kazi ya Polisi ni kuua au kukamata wahalifu? Natumai wewe ni mtoto wa Polisi au umelelewa na Polisi!!
 

nadhani uelewa wako wa sheria wako na polisi wako ni mdogo mno,hivi uanjua polisi anatakiwa kufanya nini kwa mwanchi au kwa kuwa wananchi elimu ya urai kwao ni ndogo sana?usitetee uovu, everything is already naked! Time is almost up!
 

 

Hapa tunazungumzia suala la Nyamongo. Suala la morogoro na iringa hata mimi natupia lawama polisi. Kweli ukweli nasema ukweli
 

Hawa wanaonekana kuwa mahiri kutekeleza majukumu yao wanapokabiliana na raia wasiokuwa na silaha yoyote, hata jiwe hawana.
Wakisikia kuna majambazi sehemu hawathubutu kutia pua zao. Juzi tu kulikuwa na uvamizi benki ya CBA jengo la jamana lakini hakuna polisi wala FFU aliyethubutu kufika eneo la tukio hadi walipohakikisha kwamba majambazi wameondoka.
 

Mkuu, kwani hujawahi kusikia wazee wa kazi wanaenda kupiga tukio kwenye magodauni usiku wakiwa wamesindikizwa na defender za polisi?!!
 

Hususan raia wanotangaza kuwa "nchi haitatawalika".
 
kuna mtu anachangia ukabila na historia za kulishwa sumu humu kuwa watu wale ni wakorofi na ujinga mwingi lakini je?
1vipi kuhusu mrahaba wa mapato ambayo wananchi wanapata ni sahihi kupata 3% ya mauzo ya dhahabu km taifa?
2 ni shughuli gani za kijamii ambazo wamewezeshwa wazawa na serikali unayoitetea ili waache kazi yao ya kihistoria ya kutafuta madini?(ikumbukwe tangu mwanzo wa maisha yao watu wa nyamongo waliishi maisha ya uchimbaji)
3social services zilizoimarishwa pale na wawekezaji ni zipi?
4 jaribuni kuangalia hili tatizo la polisi kuuwa si la huko tu kesho wanapozoea wanaona ni kawaida watakuuwa hata wewe mjinga unayejaribu kuwatetea
 
Ukweli nakuheshimu sana mzee mwanakijiji,kwa nini kwanza tusiwafundishe raia kutii mamalaka na kuacha vurugu? haiingii akilini eti polisi aje nyumbani kwa mtu ampige pasi na sababu! hebu tuache ushabiki!
mwenzako akinyolewa wewe tia maji iko siku utaona ujinga wa polisi tuombe mungu yatakukuta tu
 
umeongea ujinga mwingi saana lakini hakuna point yeyote kubwa ulioanisha kama mtu mwenye akili tofauti na kuwalable watu kwa a ni wajeuri wewe una kipimo cha kupima ujeuri hebu tupatie takwimu ya wanaoongoza mpaka wa mwisho,unataka waseme ni mgodi wako au wa kikwete au wa wazungu ile ni natural resourse iliwekwa pale purposely na mungu sio ccm wala mama zao eti waliwazawadia watu mgodi polisi pale wanaiba dhahabu popote wanapoiona na ikumbukwe ile milima ambayo vijana wanaokota mawe ni residue tu za mawe wala watu hawajawahi vamia mgodi mgodi ni kule room pad na plant umewahi kuona mtu huko heri mkoloni mweupe kuliko wapumbavu kama nyie na serikali yenu wajinga
 
tunazo mpaka namba za polisi na wengine wanauza dhahabu tunazo picha za polisi wamewakata watu wanachukua pesa pale nyamongo polis pale wanacheza dili ikitibuka wanaanza kupiga watu risasi si muda tutaanika humu ukweli hatuwezi kuvumilia mambo ya kijinga na mwisho tutakaa tujadili namna ya kujilinda wenyewe
 
acha uchonganishi kaka toa habari kamili sio yakuonyesha polisi tu wao ndio wakosaji..sema hao waliopigwa wamefanya nini na wameonewaje.je kama walikuwa wanahatarisha maisha ya askari je wangefanyaje zaidi ya kuwafyatulia machozi bomb?
 
nadhani uelewa wako wa sheria wako na polisi wako ni mdogo mno,hivi uanjua polisi anatakiwa kufanya nini kwa mwanchi au kwa kuwa wananchi elimu ya urai kwao ni ndogo sana?usitetee uovu, everything is already naked! Time is almost up!

Wewe unayejua si uelezee sasa. Mbona umeishia kubwabwaja tu bila hata kutoa argument. Vimtu vingine bwana.
 
Hao wananchi walipigwa tu bila sababu za msingi? Kama walivamia eneo la mgodi, sidhani kama kulikuwa na makosa upande wa askari. Askari walikuwa wakitimiza wajibu wao wa kazi kama kawaida.

Kwa tarifa yako sheria haziruhusu kupigwa au kuadhibiwa na Jeshi la polisi kwani hilo ni jukumu la Mahakama.
 
hao wananchi walipigwa tu bila sababu za msingi? Kama walivamia eneo la mgodi, sidhani kama kulikuwa na makosa upande wa askari. Askari walikuwa wakitimiza wajibu wao wa kazi kama kawaida.
natamani kifo chako kitokane na polisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…