Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,103
Leo wa kazi wa mji mwema kigamboni walifunga barabara baada ya kuamriwa kuondoka kwenye eneo la machimbo ya mawe na wananchio hawa kugoma, jambo hilo la kugoma lililazimisha polisi kutumia mabomu kama kawaida yake, ila la kushangaza polisi wameishiwa na mabomu hayo na kukimbia kusikojulikana baada ya wananchi kuwazidi nguvu.
kwasasa jeshi la jwtz limewasili maeneo hayo na linaondoa matairi yalikuwa yamechomwa barabarani, kuwasili huko kwa jeshi hilo kumewafanya wananchi kutulia ila wapo maeneo hayo hayo ya tukio.
UPDATE
KWATAARIFA ZA AWALI ZINASEMA MWANANCHI MMOJA AMEPIGWA RISASI YA MGUU NA MWINGINE AMEPATA AJALI YA KUGONGWA NA PIKIPIKI WAKATI AKIWA KWENYE HEKA HEKA ZA KUJIOKOA. ENDELEENI KUFUATILIA KUPITIA HAPA NITAWAJUZA KILA KITU KINACHOENDELEA NIMEMTUMA KATIBU WA CHAMA WA JIMBO LA KIGAMBONI KWENDA ENEO LA TUKIO ILI CHAMA KIWEZE KUAPATA TAARIFA KAMILI NA SAHIHI ISIYOCHAKACHULIWA.
Kwasasa RPC wa TEMEKE aamuru gulio la Mjimwema kigamboni kufungwa Gulio hilo hufanyika kila siku ya J4, Vijana zaidi ya 12 wakamatwa. kwasasa bado hali ni tete Police wamerudi eneo la tukio. wananchi wapo pembezoni huku wakisikika wakisema hapa kitaleweka tu, ni lazima serikali itusikilize wananchi tunataka nini. endelea kufuatia tukio hili kupitia hapa.
kwasasa jeshi la jwtz limewasili maeneo hayo na linaondoa matairi yalikuwa yamechomwa barabarani, kuwasili huko kwa jeshi hilo kumewafanya wananchi kutulia ila wapo maeneo hayo hayo ya tukio.
UPDATE
KWATAARIFA ZA AWALI ZINASEMA MWANANCHI MMOJA AMEPIGWA RISASI YA MGUU NA MWINGINE AMEPATA AJALI YA KUGONGWA NA PIKIPIKI WAKATI AKIWA KWENYE HEKA HEKA ZA KUJIOKOA. ENDELEENI KUFUATILIA KUPITIA HAPA NITAWAJUZA KILA KITU KINACHOENDELEA NIMEMTUMA KATIBU WA CHAMA WA JIMBO LA KIGAMBONI KWENDA ENEO LA TUKIO ILI CHAMA KIWEZE KUAPATA TAARIFA KAMILI NA SAHIHI ISIYOCHAKACHULIWA.
Kwasasa RPC wa TEMEKE aamuru gulio la Mjimwema kigamboni kufungwa Gulio hilo hufanyika kila siku ya J4, Vijana zaidi ya 12 wakamatwa. kwasasa bado hali ni tete Police wamerudi eneo la tukio. wananchi wapo pembezoni huku wakisikika wakisema hapa kitaleweka tu, ni lazima serikali itusikilize wananchi tunataka nini. endelea kufuatia tukio hili kupitia hapa.