Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani ya wananchi kwa jeshi la polisi ni hafifu mnoo. Jeshi linatakiwa kufanyiwa reform mana matukio ya ajabu ni mengi na majibu hayaridhishi.Ukisoma kwa umakini unapata ukakasi kabisa ,naona kuna kitu hakipo sawa hapa
USSR
View attachment 3109805
usitumie ushirikina wala mihemko kusoma mambo wazi yanayoeleweka bayana kama hili gentleman 🐒Ukisoma kwa umakini unapata ukakasi kabisa ,naona kuna kitu hakipo sawa hapa
USSR
View attachment 3109805
Ma CCM yanapingana yenyewe kwa yenyewe.usitumie ushirikina wala mihemko kusoma mambo wazi yanayoeleweka bayana kama hili gentleman 🐒
GACHAGUA the sixthMa CCM yanapingana yenyewe kwa yenyewe.
Umeanza kuamka baada ya kuamini sana hizo taarifa za kupika za jeshi la polisi?Ukisoma kwa umakini unapata ukakasi kabisa ,naona kuna kitu hakipo sawa hapa
USSR
View attachment 3109805
Huyo kilaza mwenzio kashaanza kujua hakuna wajinga wa hivyo. Yaani vifo vyote walivyojua hao polisi ni vya kuchomwa kwa moto tu?!usitumie ushirikina wala mihemko kusoma mambo wazi yanayoeleweka bayana kama hili gentleman 🐒
soma taratibu gentleman mbona iko wazi sana hiyo taarifa kamili 🐒Huyo kilaza mwenzio kashaanza kujua hakuna wajinga wa hivyo. Yaani vifo vyote walivyojua hao polisi ni vya kuchomwa kwa moto tu?!
Taaraifa ya watekaji ina jipya lipi?soma taratibu gentleman mbona iko wazi sana hiyo taarifa kamili 🐒