Polisi wajue hakuna mjinga wa kuamini hili

Polisi wajue hakuna mjinga wa kuamini hili

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Ukisoma kwa umakini unapata ukakasi kabisa ,naona kuna kitu hakipo sawa hapa

USSR
20240928_231154.jpg
 
Mwambieni masauni anitumie na ya kutolea ili asibanduliwe kwenye wizara ya mambo ya ndani.
 
Ikiwa hao ni wahusika kweli tutaacha kusikia matukio hayo huko ugogoni na pongezi ziwafikie maafande wa idodomya
 
usitumie ushirikina wala mihemko kusoma mambo wazi yanayoeleweka bayana kama hili gentleman 🐒
Huyo kilaza mwenzio kashaanza kujua hakuna wajinga wa hivyo. Yaani vifo vyote walivyojua hao polisi ni vya kuchomwa kwa moto tu?!
 
Huyo kilaza mwenzio kashaanza kujua hakuna wajinga wa hivyo. Yaani vifo vyote walivyojua hao polisi ni vya kuchomwa kwa moto tu?!
soma taratibu gentleman mbona iko wazi sana hiyo taarifa kamili 🐒
 
Back
Top Bottom