Sasa hivi watu wengi kwenye mambo ya msingi hawachangii sababu ya Hali ya wnachadema, yaani nyumbu wa mbowe. Wao ni kupinga Pinga tu Kila kitu. Mtu akichangia kwa mtazamo mwingine basi hao wamefika kumshambulia.....mjadala utatulia uki'yes' tu wanayoyasema wao. Ngoja tuangalie tu sasa