Kama ni kweli, tunaokoelekea si kwenyewe, yaani nchi imepotea njia. Walioapa kulinda raia kwa nguvu zao zote leo tena wanabaka raia? wameona mabomu na virungu havitoshi? nikiwa mwanamke nalaani kitendo hicho na Namuomba Mungu ninayemuamini akifunue kitendo hicho kwani yule aliyekifanya atakamatatwa tu, kama si leo basi siku zijazo!!!