MBona polisi walikana kwamba kauli hiyo sio msimamo wa jeshi.Hayo yote yatotelewa baada ya uchunguzi
Au ulitaka achunguzwe akiwa bado ofisini ??
Hizi ni akili za namna gani unazo ww
Mwambie atulie uchunguzi ufanyike
Kwani statement ya IGP ilisema sababu za mabadiliko ya RPC?Baada ya sintofahamu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la mwananchi na kuinasibisha na kauli ya RPC dodoma,ghafla JESHI la polisi likaikana kauli hiyo na kumtengua u RPC.
Jeshi la polisi kwanza walitakiwa wadai UTHIBITISHO kutoka kwa gazeti hili kama kweli haya maneno RPC aliyasema,je polisi walifanya hivyo ?
Kama polisi ni law enforces mbona mambo logic kama haya hayafuatwi katika kuwawajibisha wenzao ?
Je kama wanashindwa kufuata utaratibu sahihi katika kuwawajibisha wenzao unadhani WATAWEZA KUFUATA UTARATIBU SAHIHI KATIKA KUWAWAJIBISHA RAIA ?
Raia tunafurahia RPC kutenguliwa je hatujui kama uamuzi huo wa polisi unaweza kutuathiri hata sisi kwa maana ulikuwa uamuzi wa kihisia na sio uamuzi wa kimantiki
MAgazeti tunayajua namna ambavyo ni hodari kwa kunukuu maneno wanayoyaona yatavutia biashara yao.
Je polisi wana uhakika gani kama yale maneno yule RPC kayasema ?
Hatujaona media yoyote ikiripoti na kuweka sauti ya yule mama RPC akiyazungumzwa yale yanayodaiwa.
POlisi wanapokanusha kwamba kauli hiyo sio ya jwshi la polisi kwani wapi huyo RPC kaisema kauli hiyo.
Kama waandishi ni waadilifu mbona hawajachapisha maneno ya RPC tuliyoyasikia wemyewe akisema kwamba HATA KAMA NI INASEMWA NI MALAYA HAKUSTAHIKI KUFANYIWA HIVYO ?
kama polisi wanashindwa kuwa na weledi baina yao,unadhani watakuwa na weledi kwa wananchi ?
Huyu mama anaonewa bure.
MBona polisi walikana kwamba kauli hiyo sio msimamo wa jeshi.
walithibitishaje kauli hii kama ni kweli ometoka kwa kiongozi mwenzao mpaka wafikie hatua ya kuikana
Mbona Awadhi yeye wanamwacha na amejeruhi 4R je hawakuliona hilo la Mbeya. Mama RPC ameonewa.Baada ya sintofahamu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la mwananchi na kuinasibisha na kauli ya RPC dodoma,ghafla JESHI la polisi likaikana kauli hiyo na kumtengua u RPC.
Jeshi la polisi kwanza walitakiwa wadai UTHIBITISHO kutoka kwa gazeti hili kama kweli haya maneno RPC aliyasema,je polisi walifanya hivyo ?
Kama polisi ni law enforces mbona mambo logic kama haya hayafuatwi katika kuwawajibisha wenzao ?
Je kama wanashindwa kufuata utaratibu sahihi katika kuwawajibisha wenzao unadhani WATAWEZA KUFUATA UTARATIBU SAHIHI KATIKA KUWAWAJIBISHA RAIA ?
Raia tunafurahia RPC kutenguliwa je hatujui kama uamuzi huo wa polisi unaweza kutuathiri hata sisi kwa maana ulikuwa uamuzi wa kihisia na sio uamuzi wa kimantiki
MAgazeti tunayajua namna ambavyo ni hodari kwa kunukuu maneno wanayoyaona yatavutia biashara yao.
Je polisi wana uhakika gani kama yale maneno yule RPC kayasema ?
Hatujaona media yoyote ikiripoti na kuweka sauti ya yule mama RPC akiyazungumzwa yale yanayodaiwa.
POlisi wanapokanusha kwamba kauli hiyo sio ya jwshi la polisi kwani wapi huyo RPC kaisema kauli hiyo.
Kama waandishi ni waadilifu mbona hawajachapisha maneno ya RPC tuliyoyasikia wemyewe akisema kwamba HATA KAMA NI INASEMWA NI MALAYA HAKUSTAHIKI KUFANYIWA HIVYO ?
kama polisi wanashindwa kuwa na weledi baina yao,unadhani watakuwa na weledi kwa wananchi ?
Huyu mama anaonewa bure.
Naona kanunua vilaza hawana hoja.Da Fatu kapata watetezi.....
Mwambie huyo mamako awe anafikiri kabla ya kuropokaBaada ya sintofahamu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la mwananchi na kuinasibisha na kauli ya RPC dodoma,ghafla JESHI la polisi likaikana kauli hiyo na kumtengua u RPC.
Jeshi la polisi kwanza walitakiwa wadai UTHIBITISHO kutoka kwa gazeti hili kama kweli haya maneno RPC aliyasema,je polisi walifanya hivyo ?
Kama polisi ni law enforces mbona mambo logic kama haya hayafuatwi katika kuwawajibisha wenzao ?
Je kama wanashindwa kufuata utaratibu sahihi katika kuwawajibisha wenzao unadhani WATAWEZA KUFUATA UTARATIBU SAHIHI KATIKA KUWAWAJIBISHA RAIA ?
Raia tunafurahia RPC kutenguliwa je hatujui kama uamuzi huo wa polisi unaweza kutuathiri hata sisi kwa maana ulikuwa uamuzi wa kihisia na sio uamuzi wa kimantiki
MAgazeti tunayajua namna ambavyo ni hodari kwa kunukuu maneno wanayoyaona yatavutia biashara yao.
Je polisi wana uhakika gani kama yale maneno yule RPC kayasema ?
Hatujaona media yoyote ikiripoti na kuweka sauti ya yule mama RPC akiyazungumzwa yale yanayodaiwa.
POlisi wanapokanusha kwamba kauli hiyo sio ya jwshi la polisi kwani wapi huyo RPC kaisema kauli hiyo.
Kama waandishi ni waadilifu mbona hawajachapisha maneno ya RPC tuliyoyasikia wemyewe akisema kwamba HATA KAMA NI INASEMWA NI MALAYA HAKUSTAHIKI KUFANYIWA HIVYO ?
'kama pol'isi wanashindwa kuwa na weledi baina yao,unadhani watakuwa na weledi kwa wananchi ?
Huyu mama anaonewa bure.
Haya mambo hayahitaji KAMA kama.Naona kanunua vilaza hawana hoja.
Wanalikosoa jeshi la polisi.
Nawauliza kama mwaindishi wa habari alikosea au kuandika uongo bila ushahidi wa audio ile angekua jela kwa uchochezi.
Kuna kuambatana/kufuatana (correlation) na kusababishiana (causation). Kufuatana si uthibitisho wa kusababishiana. Ila nakubali kwa 💯 RPC kuondolewa, ila sijui sababu za kuondolewa kwake.Huoni kama barua ya tuhuma imeambatana na utenguzi wewe jamaa ?
Kama barua ya yule jamaa wa kudai uaijipii ilivyoambatana na utenguzi.
Unataka kuleta taawil gani mzee
Aisee nimekutukana Matusi makubwa wewe Mungu anisameheHaya mambo hayahitaji KAMA kama.
Lete ushahidi wa sauti wewe na mwandishi ili tuone ukweli wa kisemwach0
nadhani una hasira sana na inakunyima uelewa.Aisee nimekutukana Matusi makubwa wewe Mungu anisamehe
,yaani audio ziko kila mahali wewe unataka mimi nikuletee ushahidi wewe kama nani?
Nimekuuliza unafikiri bila ushahidi wa Audio mwandishi wa habari angebaki uraiani? Hukujibu..
Futa uzi wako huu nenda kacheze na watoto wenzako.
Hujaziona sura za Baba wewe,Bonge la Shangazi Hilo RPC.Huyo sio mama ni baba huoni sura yake kama mzee mallya ....kauli yake ni ya kijambazi anamlinda fatma
Ulikuwa unataka ushahidi gani wakati amerekodiwa sauti yake kabisa akizungumza? Kama ni shangazi yako au mama yako mdogo umekuja kumtetea hapo huna hoja kijana.Baada ya sintofahamu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la mwananchi na kuinasibisha na kauli ya RPC dodoma,ghafla JESHI la polisi likaikana kauli hiyo na kumtengua u RPC.
Jeshi la polisi kwanza walitakiwa wadai UTHIBITISHO kutoka kwa gazeti hili kama kweli haya maneno RPC aliyasema,je polisi walifanya hivyo?
Kama polisi ni law enforces mbona mambo logic kama haya hayafuatwi katika kuwawajibisha wenzao?
"Askari Ni neno general tunaliacha Kama lilivyo " inamaana Hakuna uchunguzi wa kubaini mtuhumiwaIle sauti inanukuu mama akisema "hata kama watu wanasema ni malaya bado hakustahili kufanyiwa hivyo"
Je hiyo kauli ililenga kubeza au kumsaidia yule dada mtendwa ?
Unakosa kuwa muelewa.Ulikuwa unataka ushahidi gani wakati amerekodiwa sauti yake kabisa akizungumza? Kama ni shangazi yako au mama yako mdogo umekuja kumtetea hapo huna hoja kijana.
Watu wamehamanika tu na tukio lenyewe.Baada ya sintofahamu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la mwananchi na kuinasibisha na kauli ya RPC dodoma,ghafla JESHI la polisi likaikana kauli hiyo na kumtengua u RPC.
Jeshi la polisi kwanza walitakiwa wadai UTHIBITISHO kutoka kwa gazeti hili kama kweli haya maneno RPC aliyasema,je polisi walifanya hivyo?
Kama polisi ni law enforces mbona mambo logic kama haya hayafuatwi katika kuwawajibisha wenzao?
Je, kama wanashindwa kufuata utaratibu sahihi katika kuwawajibisha wenzao unadhani WATAWEZA KUFUATA UTARATIBU SAHIHI KATIKA KUWAWAJIBISHA RAIA?
Pia, soma:
Raia tunafurahia RPC kutenguliwa je hatujui kama uamuzi huo wa polisi unaweza kutuathiri hata sisi kwa maana ulikuwa uamuzi wa kihisia na sio uamuzi wa kimantiki
MAgazeti tunayajua namna ambavyo ni hodari kwa kunukuu maneno wanayoyaona yatavutia biashara yao.
Je, polisi wana uhakika gani kama yale maneno yule RPC kayasema?
Hatujaona media yoyote ikiripoti na kuweka sauti ya yule mama RPC akiyazungumzwa yale yanayodaiwa.
POlisi wanapokanusha kwamba kauli hiyo sio ya jwshi la polisi kwani wapi huyo RPC kaisema kauli hiyo.
Kama waandishi ni waadilifu mbona hawajachapisha maneno ya RPC tuliyoyasikia wemyewe akisema kwamba HATA KAMA NI INASEMWA NI MALAYA HAKUSTAHIKI KUFANYIWA HIVYO?
Kama polisi wanashindwa kuwa na weledi baina yao,unadhani watakuwa na weledi kwa wananchi ?
Huyu mama anaonewa bure.