Polisi walikuwa wapi uwanja wa Taifa mpaka mashabiki wanaingia uwanjani na kung'oa nyasi bandia?


Walkuwa busy na kupiga risasi hewani
 
Mkuu hiyo Aya ya mwisho katika maada yako ndio yenye maana!!
Huko juu kote ni makando tu!
Hivi polisi ni maroboti au binadamu kama wewe??
Hata kama kuwachukia, unadhan wao hawana damu? Mmmmh!!? Ila washenzi kwenye kupiga virungu hao nao!
 
Mkuu hiyo Aya ya mwisho katika maada yako ndio yenye maana!!
Huko juu kote ni makando tu!
Hivi polisi ni maroboti au binadamu kama wewe??
Hata kama kuwachukia, unadhan wao hawana damu? Mmmmh!!? Ila washenzi kwenye kupiga virungu hao nao!
OK
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…