sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Najua watanzania wengi ni wabinafsi hawajali haki za wengine na wengine hawafahaumu,lakin Nchi haiwezi kua na amani kama kutakua na double standard na dhulma kiwango hiki.
1. Kama nchi imeamua kushughulikia uhalifu kwa kuua basi tuanze kupewa taarifa ya akari waliohusika na mauji ya kijana mfanyabiashara alieuwawa mikononi mwa polisi kule Mtwara, ule pia ni upanja road
2. Kama mmeamua nchi iwe chamba la bibi basi iwe hivyo kila mtu ajilinde mwenyewe, lakini sio kuua panyaroad wa m mtaani theni unaacha panyaroad kwenye jeshi la polisi
Wale walioua mfanyabiashara walichukuliwa hatua gani za haraka?
Yule kijana hamisi kama yumo na mtoto akikosa malezi akatafuta mbinu mbadala kutafuta riziki chanzo kitakua ni nani?
Sitetei panyaroad ila sipendi panyaroad walioko jeshi la polisi wanavyolindwa.
Kama mmeamua kufata haki basi hata hao panyaroad wa temeke na mbagala wapelekini mahakamani, sio mseme mzazi asipoona mwanae akamtafute central au mortuary
1. Kama nchi imeamua kushughulikia uhalifu kwa kuua basi tuanze kupewa taarifa ya akari waliohusika na mauji ya kijana mfanyabiashara alieuwawa mikononi mwa polisi kule Mtwara, ule pia ni upanja road
2. Kama mmeamua nchi iwe chamba la bibi basi iwe hivyo kila mtu ajilinde mwenyewe, lakini sio kuua panyaroad wa m mtaani theni unaacha panyaroad kwenye jeshi la polisi
Wale walioua mfanyabiashara walichukuliwa hatua gani za haraka?
Yule kijana hamisi kama yumo na mtoto akikosa malezi akatafuta mbinu mbadala kutafuta riziki chanzo kitakua ni nani?
Sitetei panyaroad ila sipendi panyaroad walioko jeshi la polisi wanavyolindwa.
Kama mmeamua kufata haki basi hata hao panyaroad wa temeke na mbagala wapelekini mahakamani, sio mseme mzazi asipoona mwanae akamtafute central au mortuary