watoke wapi na ajira zenyewe ni kujuana tu....................na mafunzo yao ni kule Moshi kunywa supu tu.................hakuna forensic science kule ya kuzama kwenye maeneo mazito kama hili.......mara nyingi huona polisi wakibeba mzoga wa mtu aliyekufa bila hata ya kuvaa gloves na wala hawaandamani na dakitari..............bila hata ya kuchukua ushahidi kwenye eneo la tukio au hata kulifunga kuzuia ushahidi usiharibike..........
Pamoja na kuwa nakubaliana na wewe juu ya uwezo (duni) wa polisi wetu...lakini katika hili la wao 'kumshikilia' Lulu kuhusiana na kifo cha Sk sikubaliani na wewe. Kuna utata mkubwa bado juu ya chanzo cha kifo cha SK...amejiuwa, amekufa, ameuwawa! Kwa maelezo yaliyopo kwenye public mpaka sasa ni kuwa Lulu ndiye aliyekuwa na marehemu na kwa mujibu wa mashahidi (mdogo wa marehemu na majirani) kulisikika 'vishindo' chumba ambacho wapenzi hawa walikuwamo kabla ya SK kufariki. Sasa, katika hali kama hii Lulu ni shahidi muhimu (hasa kama itathibitika kuwa SK ameuwawa) sana katika uchunguzi wa kipolisi na pengine hata ule wa kitabibu. Kuwa wa kwanza kutoa taarifa polisi hakuondoi ukweli kuwa katika hili Lulu anabaki kuwa mshukiwa nambari moja. Baada ya uchunguzi wa awali bila ya shaka anaweza kuachiwa au wakaongezeka wengine.
Inasikitisha vibaya sana lakini polisi wako sawa, wamefuata sheria:
CAP 20 of Laws, Section 64 (1) c
THE CRIMINAL PROCEDURE ACT, ( 9 ) 1985
a person brought under the custody of a police officer on reasonable
suspicion of having committed an offence shall be released immediately, where:
(c) after twenty-four hours after the person was arrested, no formal
charge has been laid against that person unless the police officer
in question reasonably believes that the offence suspected to have
been committed is a serious one
Kwa hiyo polisi hapa akijisikia tu, anaweza kukulaza ndani wiki au hata mwezi, muda wowote anaotaka bila hata kuambiwa unashikiliwa kwa nini. Na huwezi kufanya lolote, huwezi kuomba bail, huwezi kupinga charges, utapinga charges za kosa gani?
Leo ni Lulu, kesho inaweza kuwa kwangu na wewe, tuombe hiki kitu kifutwe na katiba mpya.
Kwamba ndani ya masaa 24 iwe lazima upewe mashitaka, na haki ya kuomba dhamana, kwa vyovyote vile.
Marehemu Steven Kanumba
Polisi wetu wameonyesha ukilaza wao kumkamata Lulu ambaye alikwenda kuwaarifu ya kuwa mpenzi wake amedondoka na kufa mwenyewe. Polisi wenye mafunzo stahiki walipaswa kutoa PF, kurekodi kauli za wahusika na kuchukua contacts zao na kuwaruhusu waondoke wakisubiria taarifa ya ukaguzi wa mwili wa mwendazake................................
Kitendo cha polisi kumkamata na kumhusisha na mauaji Lulu ni kumnyang'anya haki zake za asili na za kikatiba za kuwa hana kosa hadi pale atakaposhitakiwa na kosa..................polisi wamemkamata huku hawana ushahidi wowote kuwa kanumba aliuawa na kuwa hiyo ni kesi ya murder na kauli ya kamanda wa polisi aliedai kuwa Lulu atashitakiwa kwa mauaji inathibitisha jinsi jeshi la polisi lisivyojua wajibu wake ndani ya polisi jamii................
katika mazingira ya namna hii nani atatoa taarifa kwa polisi wakati akijua ataanza kubughudhiwa..............na kushukiwa kuwa anahusika na mauaji wakati hakuna ushahidi wowote hadi sasa wa kufanya hivyo.........mtoto wa watu kakoseshwa kula Easter yake kwa sababu ya uzembe na umbumbu wa polisi wetu................kweli tunakazi ya kuwalisha hawa vilaza polisi na familia zao kwa kutubughudhi tu!
Pili, hakuna maelezo kwa nini mdogo wake wa Kanumba - Seth - naye hakukamatwa pia kutokana na maelezo yake mwenyewe kuwa siku nzima alikuwa na kaka yake kabla ya Lulu kuja...................mashaka kama yanaweza kutiliwa kwa Lulu kwa nini watu wote waliokuwapo wakati marehemu yupo hai wasichukuliwe kama ni watuhumiwa bali mdogo wake aonekane hana hatia kama siyo ubaguzi wa kijinsia? kauli ya polisi kuwa ni ugomvi wa kimapenzi ndiyo uliomwuuwa unazidi kulidhalilisha jeshi la polisi kwa kufikia hatma ya swala lenyewe hata kabla ya kusubiri maelekezo ya taarifa za kitabibu...............kutoka Muhimbili.......hii sasa ni aibu kwa jeshi la polisi....................na yaonyesha kuna watu wengi wamefungwa kutokana na huu uzembe wa kufikiri wa polisi wwetu........
.............katika khali ya kawaida Lulu alitaka kuishia lakini ni mwendazake ambaye alikuwa anamzuia na yaonekana alikuwa ana nguvu zaidi ya kumzuia pale alipoweza kumrudisha chumbani na kufunga mlango wa chumba..........................watu hudondoka tu kwa viungo ndani ya miili ayo kushindwa kutekeleza majukumu yake..........viungo hivyo ni kama moyo, maini, figo, bandama n.k na hata ubongo waweza kushindwa kufanya kazi na mtu akadondoka chini na kupata majeraha ambayo mbumbumbu wetu wa polisi hawana zana za upembuzi yakinifu hata kusema hakuna kesi ya aina yoyote ile hadi pale watakapopata taarifa ya post-mortem kutoka kwa madaktari Muhimbili.................................
polisi wamwachie binti akale sikuukuu au vinginevyo wajiandae kumfidia kwa usumbufu na udhalilishaji waliomsababishia...................
Hapa ukidadafua nn maana halis ya m2 kuwekwa chn ya ulinz utapata hazma halis ya jesh la polis kumshikilia huyu m2,,'kwanza kwa usalama wake yeye binafs wa2 wanamajonz,hasira unadhan wakimuona huyo lulu c watamnyonga hadhar tambua kuna wa2 maisha yao bila kanumba c ki2 .....'uc2pie lawama jesh la polis naamin huwa hawakurupuk kama ww unavyofikiria
Inasikitisha vibaya sana lakini polisi wako sawa, wamefuata sheria:
CAP 20 of Laws, Section 64 (1) c
THE CRIMINAL PROCEDURE ACT, ( 9 ) 1985
a person brought under the custody of a police officer on reasonable
suspicion of having committed an offence shall be released immediately, where:
(c) after twenty-four hours after the person was arrested, no formal
charge has been laid against that person unless the police officer
in question reasonably believes that the offence suspected to have
been committed is a serious one
Kwa hiyo polisi hapa akijisikia tu, anaweza kukulaza ndani wiki au hata mwezi, muda wowote anaotaka bila hata kuambiwa unashikiliwa kwa nini. Na huwezi kufanya lolote, huwezi kuomba bail, huwezi kupinga charges, utapinga charges za kosa gani?
Leo ni Lulu, kesho inaweza kuwa kwangu na wewe, tuombe hiki kitu kifutwe na katiba mpya.
Kwamba ndani ya masaa 24 iwe lazima upewe mashitaka, na haki ya kuomba dhamana, kwa vyovyote vile.
Rutashubanyuma,
Nakubaliana na wewe kwa mengi, lakini hili hapana!
Huyo binti anajua kila kitu kuhusu SK, hivyo ni vema akaendelea kushikiliwa!
Mbali ya jamii kuweza kuchukua maamuzi huko mtaani, lakini kubwa zaidi ni yeye binafsi kuweza kuchanganya na zake, na kuamua kunywa DIDIMAC, kwa nia ya kujipoteza(maana anajua alichokifanya)!
Uamuzi wa kuwa chini ya uangalizi wa Polisi ni wa msingi sana!
Rutashubanyuma,
Nakubaliana na wewe kwa mengi, lakini hili hapana!
Huyo binti anajua kila kitu kuhusu SK, hivyo ni vema akaendelea kushikiliwa!
Mbali ya jamii kuweza kuchukua maamuzi huko mtaani, lakini kubwa zaidi ni yeye binafsi kuweza kuchanganya na zake, na kuamua kunywa DIDIMAC, kwa nia ya kujipoteza(maana anajua alichokifanya)!
Uamuzi wa kuwa chini ya uangalizi wa Polisi ni wa msingi sana!
taratibu za sheria ya jinai mtuhumiwa wa kesi ya mauaji akikamatwa,atashikiliwa na polisi mpaka pale uchunguzi utakapokamilika, na mahakama ndiyo itakayo determine kama suspect has the case to answer
ndani ya nyumba walikuwamo watu wangapi? kwa nini mtoa taarifa polisi peke yake ndiye kakamatwa? mdogo wa marehemu hana lolote hapa?
Pole nilitafuta neno la haraka nikakosa...labda ningesema 'amekufa mwenyewe'..Lolz. Kama mtu amepoteza uhai wake lakini sio kwa 'kujiuwa' au 'kuuwawa' tungeweza kusemaje kwa kiswahili (neno moja ama mawili)!....neno linaloweza kuwa na/kukaribia tafsiri ya 'natural death'.Kwenye RED alikuwa una maana gani hapo? Ulitegemea asife au?
polisi wetu si unajua walivyowabaguzi na wavivu wakufikiri?...........hata yule daktari aliyekuwa anamlisha Kanumba madawa ya hiv cocktail na huku akijua anakunywa pombe wala hachunguzwi...................na hawa Muhimbili bure kabisa maana hawakuchunguza tumboni mwa mwendazake kama alikuwa amekula nini....na kunywa nini...........majibu yalikuwepo ya kumwachia Lulu lakini uzembe huu utaisihia mtoto wa watu asiye na hatia............and she is underage.........ikimaanisha mwendazake alikuwa akimbaka mtoto wa watu hivi hawa WAMA WAKO WAPI NA tamwa..n.k