muhubiri mpya
Member
- Sep 14, 2019
- 20
- 12
Habari za wakati huu wanajamvi, kwa muda mrefu nimekuwa nikijaribu kuangalia na kutazama mtifuano ambao umekuwa ukijitokeza mara kwa mara baina ya polisi na mahali wanapokuwapo viongozi wa chadema.
Tukilejea matukio machache kuanzia maandamano ya wanachadema mwaka 2012 jijini Arusha, uvamizi wa polisi kwenye mkutano wa chadema mkoani Iringa iliyopelekea mauwaji ya mwandishi nguli Daudi Mwangosi.
Polisi kuvamia maandamano ya wanachadema Kinondoni na kupelekea mauwaji wa Akwilina, kwa ufupi kuna mlolongo mrefu wa matukio ambayo polisi huvamia mikutano na mihazara ya chadema...swali je polisi hufanya hayo wakitimiza wajibu wao ama hufanya wakiwa na shinikizo La kisiasa nyuma yao..?!!!
Tukilejea matukio machache kuanzia maandamano ya wanachadema mwaka 2012 jijini Arusha, uvamizi wa polisi kwenye mkutano wa chadema mkoani Iringa iliyopelekea mauwaji ya mwandishi nguli Daudi Mwangosi.
Polisi kuvamia maandamano ya wanachadema Kinondoni na kupelekea mauwaji wa Akwilina, kwa ufupi kuna mlolongo mrefu wa matukio ambayo polisi huvamia mikutano na mihazara ya chadema...swali je polisi hufanya hayo wakitimiza wajibu wao ama hufanya wakiwa na shinikizo La kisiasa nyuma yao..?!!!