Polisi waonyeshe vitambulisho, namba zao wanapokamata watu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Polisi waonyeshe vitambulisho, namba zao wanapokamata watu
Maulid Ahmed
Daily News; Friday,December 26, 2008 @00:01


 
Polisi waonyeshe vitambulisho, namba zao wanapokamata watu
Maulid Ahmed
Daily News; Friday,December 26, 2008 @00:01

Mama mia, some countiries they do have the right to privacy and a police must have a good and probable cause to stop you. Tanzania , hakuna kitu kama hicho. In U.S., they have a miranda rules ....a suspect need to be told of his rights ...Tanzania is the opposite. Jeshi letu laitaji elimu kwanza atawakikuonyesha kitambulisho, haitasaidia.
 
Kuna mambo wanaweza wakaogopa mf Kupokea rushwa na wakati unajua kabisa jina lake. Itasaidia. Trust me ukisimamishwa na polisi muulizie kitambulisho utaona ana back-up kidogo.
 
Pamoja na kuonyesha vitambulisho pia wawapeleke watuhumiwa vituoni na si vichocho ili aweze kuomba rushwa.Polisi wawaelimishe raia utaratibu unaotakiwa kufuatwa mtu anapokamatwa kwa tuhuma fulani,matapeli wanatumia mwanya wa kutofahamika taratibu katika nja zao za uovu.
 
Wengi wanapenda kutoa namba zao za simu siku ingine ukiwa na tatizo wasiliana nae moja kwa moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…