Polisi wapo kila kona ya mkoa wa Dar es Salaam, hawa Ulinzi Shirikishi kwanini wanasumbua mitaani?

Polisi wapo kila kona ya mkoa wa Dar es Salaam, hawa Ulinzi Shirikishi kwanini wanasumbua mitaani?

Madihani

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6,154
Reaction score
7,083
Moja kwa moja kwenye mada.

Polisi wapo kila kona ya mkoa wa Dar es Salaam, hawa waliokosa elimu na fedha kwanini wanasumbua mitaani.?

Hapa najiuliza kodi(PAYE) yangu ni zaidi ya Tsh500,000/= kila mwezi halafu anatokea mtu nyumbani kwangu eti nitoe pesa ya ulinzi shirikishi.

Tanzania kama nchi inatakiwa tutafute mabadiliko hasa namna ya kukusanya kodi na kutumia vizuri.

Nashauri serikali iwalipe hao walinzi wao uchwara kama hakuna pesa waache kulinda kila mtu apambane na hali yake.
 
downloadfile.png
 
Mada imerudi hewani.
Ulinzi shirikishi ni kero, kama serikali haina pesa za kuwalipa waache kulinda.
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Polisi wapo kila kona ya mkoa wa Dar es Salaam, hawa waliokosa elimu na fedha kwanini wanasumbua mitaani.?

Hapa najiuliza kodi(PAYE) yangu ni zaidi ya Tsh500,000/= kila mwezi halafu anatokea mtu nyumbani kwangu eti nitoe pesa ya ulinzi shirikishi.

Tanzania kama nchi inatakiwa tutafute mabadiliko hasa namna ya kukusanya kodi na kutumia vizuri.

Nashauri serikali iwalipe hao walinzi wao uchwara kama hakuna pesa waache kulinda kila mtu apambane na hali yake.
Tumia digrii yako ya sheria kusolve hii ishu ndogo.
 
Back
Top Bottom