LGE2024 Polisi wasema kuna mambo hawakumalizana na Mdude jana kumhoji na kumchunguza, ndio maana wanaendelea kumshikilia

LGE2024 Polisi wasema kuna mambo hawakumalizana na Mdude jana kumhoji na kumchunguza, ndio maana wanaendelea kumshikilia

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Ila polisi, mnazidi tu kufanya CHADEMA wapate vichwa na kuwa maarufu. Sijui kwanini hamjifunzi, kila siku mnatumia mbinu zile zile!

=====


Pia soma: - LGE2024 - Songwe: Viongozi wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, wameachiwa bila masharti Usiku

Wakati Mbowe na wenzake wakiachiwa kwa dhamana, kada wa chama hicho, Mdude Nyagali ameendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano zaidi.

Akizungumza na Mwananchi leo Novemba 23, 2024, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Agustino Senga amesema baada ya mahojiano na viongozi hao, wameachiwa kwa dhamana na masharti maalumu huku wakibaki na Mdude Nyagali.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Amesema wanamshikilia Mdude kwa ajili ya kuhojiana naye kuhusu mambo mengine yanayomkabili.
 
Niko ktk hatua za mwisho kabisa za kutengeneza mabomu ya mkono ya kienyeji. Mpk Sasa nimefanikiwa kuetengeza mabomu efu 15. Malengo ni kuwa na mabomu elfu 28.

Changamoto ninayokutana nayo nj ukosefu wa egg-shells.

Baada ya hapo nitaitosha maandamano nchi nzima, na waandamanaji watajilinda kwa mabom.
 
Wakuu,

Ila polisi, mnazidi tu kufanya CHADEMA wapate vichwa na kuwa maarufu. Sijui kwanini hamjifunzi, kila siku mnatumia mbinu zile zile!

=====

Pia soma:
Wakati Mbowe na wenzake wakiachiwa kwa dhamana, kada wa chama hicho, Mdude Nyagali ameendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano zaidi.

Akizungumza na Mwananchi leo Novemba 23, 2024, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Agustino Senga amesema baada ya mahojiano na viongozi hao, wameachiwa kwa dhamana na masharti maalumu huku wakibaki na Mdude Nyagali.

Amesema wanamshikilia Mdude kwa ajili ya kuhojiana naye kuhusu mambo mengine yanayomkabili.
Huyu watamuua tu sidhani kama atakuwa salama kwa jinsi wanavyomtendea
 
Niko ktk hatua za mwisho kabisa za kutengeneza mabomu ya mkono ya kienyeji. Mpk Sasa nimefanikiwa kuetengeza mabomu efu 15. Malengo ni kuwa na mabomu elfu 28.

Changamoto ninayokutana nayo nj ukosefu wa egg-shells.

Baada ya hapo nitaitosha maandamano nchi nzima, na waandamanaji watajilinda kwa mabom.
Siku ile Mbowe alipoandamana peke yàke maàndamano aliitisha nani? Ulikuwa wapi wewe keyboard worrier?
hovyo kabisa .
 
Jeshi linajidhalilisha kwa mambo ya hovyo kabisa

Hapakuwa na sababu kutumia nguvu kubwa kiasi hicho walicho onyesha
 
Kwa nchi zilizo endelea wana m recruit anakua double agent wao anawapa taarifa uku bado akiwa chadema ila inataji mtu mweny upeo wa kufikiri kunizidi mm. Kuelewa ilo
 
Anaichezeaje amani, hali rushwa, hakwepi kodi, sio fisadi,sio jangiri wala mlanguzi wamadawa ya kulevya ni amani ipi hiyo anayoichezea?
 
Back
Top Bottom