Vichekesho kweliAlafu eti nao waliandamana kupinga America police brutality
Dah! Hata nashindwa niseme nini.Kenya kila mtu tembo[emoji1]
😂😂😂Kenya kila mtu tembo[emoji1]
Hahaha!! eti mikenyaSijawahi kuona mijitu mikatili kama mikenya
Maandamano lini au kwasababu kaburuzwa mkenya choka mbaya hamna kiki watakayopata hata wakiandamana ee?
Polisi watatu wamekamatwa nchini Kenya baada ya mmoja wa polisi hao kuonekana akimchapa na kumburuza mwanamke mmoja kwa pikipiki.
Mwanamke huyo anadaiwa kuhusiana na tuhuma za wizi mjini Nakuru.
Mwanamke huyo amelazwa hospitali baada ya kuumia miguuni na mikononi.
Mwanamke huyo amekiambia kituo cha Citizen TV kuwa anamfahamu polisi huyo.
Idara ya Upelelezi ya polisi imesema polisi watatu wamekamatwa na wanaisaidia polisi kwa uchunguzi wa tukio hilo.