Single D JF-Expert Member Joined Feb 27, 2007 Posts 457 Reaction score 15 Nov 1, 2010 #1 Nimepata taarifa njia hazipitiki tandika sokoni.Polisi wanatumia mabomu kutawanya raia wanaosubiri matokeo kutangazwa rasmi.Walioko huko tupeni
Nimepata taarifa njia hazipitiki tandika sokoni.Polisi wanatumia mabomu kutawanya raia wanaosubiri matokeo kutangazwa rasmi.Walioko huko tupeni
Sokomoko JF-Expert Member Joined Mar 29, 2008 Posts 1,915 Reaction score 129 Nov 1, 2010 #2 Single D said: Nimepata taarifa njia hazipitiki tandika sokoni.Polisi wanatumia mabomu kutawanya raia wanaosubiri matokeo kutangazwa rasmi.Walioko huko tupeni Click to expand... Hizo ni habari za kweli mkuu hali ni tete sana maeneo ya tandika mwisho......
Single D said: Nimepata taarifa njia hazipitiki tandika sokoni.Polisi wanatumia mabomu kutawanya raia wanaosubiri matokeo kutangazwa rasmi.Walioko huko tupeni Click to expand... Hizo ni habari za kweli mkuu hali ni tete sana maeneo ya tandika mwisho......
Njowepo JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 9,710 Reaction score 2,240 Nov 1, 2010 #3 Tandika tena!siwezi shangaaaaaaaaaaaaaaa
A Abdallah M. Nassor JF-Expert Member Joined Mar 20, 2008 Posts 600 Reaction score 620 Nov 1, 2010 #4 wameanza kumwaga damu