Elections 2010 polisi watumia mabomu kutawanya watu Tandika

Single D

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2007
Posts
457
Reaction score
15
Nimepata taarifa njia hazipitiki tandika sokoni.Polisi wanatumia mabomu kutawanya raia wanaosubiri matokeo kutangazwa rasmi.Walioko huko tupeni
 
Nimepata taarifa njia hazipitiki tandika sokoni.Polisi wanatumia mabomu kutawanya raia wanaosubiri matokeo kutangazwa rasmi.Walioko huko tupeni

Hizo ni habari za kweli mkuu hali ni tete sana maeneo ya tandika mwisho......
 
Tandika tena!siwezi shangaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…