Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,630
- 1,945
Habari za uhakika zinasema kuwa Polisi wameua kwa kuwapiga risasi vijana wawili jana usiku eneo la Kijenge/Mwananama karibu na Mount Meru Petrol Station Kijenge.
Tukio hilo lilitokea baada ya vijana hao kujibizana na mhudumu wa kike kwa kile kilichosemekana ni mhudumu kudaiwa chenji na yeye kudai ameshatoa .Kijana aliyekuwa anayendesha gari alipiga kibao huyo mhudumu na ndipo mhudumu akaita polisi waliokuwa karibu.
Polisi waliwasimamisha vijana hao na kuwaamuru watoke kwenye gari ,ndipo walipowamiminia risasi .As simple as that. More news .....
Tukio hilo lilitokea baada ya vijana hao kujibizana na mhudumu wa kike kwa kile kilichosemekana ni mhudumu kudaiwa chenji na yeye kudai ameshatoa .Kijana aliyekuwa anayendesha gari alipiga kibao huyo mhudumu na ndipo mhudumu akaita polisi waliokuwa karibu.
Polisi waliwasimamisha vijana hao na kuwaamuru watoke kwenye gari ,ndipo walipowamiminia risasi .As simple as that. More news .....
Last edited: