Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Waandamanaji hao walilenga kuwasilisha malalamiko yao katika ubalozi wa China mjini Kampala kupinga uhusika na ufadhili wa nchi hiyo wa mradi huo.
Mradi huo ujulikanao kama EACOP umeendelea kupingwa na wanamazingira na wanaharakati wa haki za binadamu ndani na nje ya Uganda.
Na hiyo ndiyo sababu ya kuchelewa kuanzishwa kutokana na kujiondowa kwa waliotarajiwa kuufadhili.
DW Swahili
PIA SOMA
- Serikali ya Uganda bado inatafuta Mfadhili wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima hadi Tanga
- TotalEnergies yashtakiwa Ufaransa kwa ukiukaji wa Haki za Binadamu kwenye mradi wa Bomba la Mafuta Uganda - Tanzania
Mradi huo ujulikanao kama EACOP umeendelea kupingwa na wanamazingira na wanaharakati wa haki za binadamu ndani na nje ya Uganda.
Na hiyo ndiyo sababu ya kuchelewa kuanzishwa kutokana na kujiondowa kwa waliotarajiwa kuufadhili.
DW Swahili
PIA SOMA
- Serikali ya Uganda bado inatafuta Mfadhili wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima hadi Tanga
- TotalEnergies yashtakiwa Ufaransa kwa ukiukaji wa Haki za Binadamu kwenye mradi wa Bomba la Mafuta Uganda - Tanzania