Polisi wawili wajeruhiwa mechi ya England na Ukraine

Polisi wawili wajeruhiwa mechi ya England na Ukraine

Bwana kaduga

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
863
Reaction score
1,812
Polisi wa Metropolitan nchini England wamethibitisha kuwashikilia watu 9 ambao wamehusika na vurugu baada ya mechi ya robo fainali ya EURO 2020 kati ya England vs Ukraine.

Tukio limetokea baada ya mechi, wakati Polisi wakidhibiti uwepo wa mikusanyiko mikubwa ya watu jijini London ambao walikuwa wakishangilia Englang kuingia nusu fainali.

Kati yao, watatu wanatuhumiwa kuwajeruhi askari wawili. Katika mchezo huo England ilishinda 4-0.

Source. MILLARD AYO.
POLISI-WEB.jpg
 
Back
Top Bottom