Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama akiacha hii hali Iendelee, nchi itamshinda huko mbeleni. Asiwategemee sana watu wa Magufuli. Wengi wao hawana uwezo... Waliwekwa kwenye hizo nafasi kutokana na utii wao wa kupokea na kutekeleza maagizo toka juu.Nchi kama nchi tunasonga kwa kasi sana kuelekea shimoni
Kwa akili yako kwa nguvu wanayotumia unafikili wanaagizwa na igp?.alafu samia amekaa tuu ametulia?.hyo ni amri ya samia wala hakuna yeyote .samia amebadilika mpaka anashtua.hata magufuli mliemchukia hakuwafanyia hivi.Mama akiacha hii hali Iendelee, nchi itamshinda huko mbeleni. Asiwategemee sana watu wa Magufuli. Wengi wao hawana uwezo... Waliwekwa kwenye hizo nafasi kutokana na utii wao wa kupokea na kutekeleza maagizo toka juu.
TAYARI! OOHOO..👀
Bora na wewe umeona hilo??Khaaa chadema mmezidi na nyie upole
Mama akiacha hii hali Iendelee, nchi itamshinda huko mbeleni. Asiwategemee sana watu wa Magufuli. Wengi wao hawana uwezo... Waliwekwa kwenye hizo nafasi kutokana na utii wao wa kupokea na kutekeleza maagizo toka juu.
UNATUSHAURI NINI..?😁Bora na wewe umeona hilo??
Endeleeni kulala tu hakuna namnaUNATUSHAURI NINI..?[emoji16]
Mbona haikumshinda Magu ambae nae alikuwa anafanya hivi hiviMama akiacha hii hali Iendelee, nchi itamshinda huko mbeleni. Asiwategemee sana watu wa Magufuli. Wengi wao hawana uwezo... Waliwekwa kwenye hizo nafasi kutokana na utii wao wa kupokea na kutekeleza maagizo toka juu.