Yale maandamano ya kumuunga mkono JK yaliyokuwa yameandaliwa na waliokuwa wamejinadi kuwa taasisi za kidini hayatakewepo. Akithibitisha kutokuwepo kwa maandamano hayo mmoja wa waandaaji na ambae angekuwa mzungumzaji alisikika akisema,'Unajua bwana mkuu wa jeshi la polisi amesema hayatakuwa na tafsiri nzuri kwa walio wengi na inawezekana kusemwa kuwa mkuu anatumia dini kuvuruga nchi. Pia mzee mwenyewe yaani rais amezungumza nasi kutoka Moshi katusihi tuachane na huo mpango kwa sasa' hayo aliyasema mwalimu huyu wa mihadhara ya usiku kijuweni kwake wagati wa gahawa ya jioni leo.
Wait a minute!maandamano yamevunjwa kupitia kwenye kijiwe cha ghahawa?kijiwe cha mihadhara ya usiku wapi huko?Halafu wapi source?
Huyu jamaa naona ni mzushi, kwanza postiyake ameiweka usikuwa manane kwa saa za bongo, mgahawa ghani huo watu wanakutana mida hiyo? Au walikuwa night club wakati wanatoa tammko hilo?
Wewe Wacha acha kumtukana Rais wangu kwa kumwita fisadi.Tafadhali aisee acha hizo
Yale maandamano ya kumuunga mkono JK yaliyokuwa yameandaliwa na waliokuwa wamejinadi kuwa taasisi za kidini hayatakewepo. Akithibitisha kutokuwepo kwa maandamano hayo mmoja wa waandaaji na ambae angekuwa mzungumzaji alisikika akisema,'Unajua bwana mkuu wa jeshi la polisi amesema hayatakuwa na tafsiri nzuri kwa walio wengi na inawezekana kusemwa kuwa mkuu anatumia dini kuvuruga nchi. Pia mzee mwenyewe yaani rais amezungumza nasi kutoka Moshi katusihi tuachane na huo mpango kwa sasa' hayo aliyasema mwalimu huyu wa mihadhara ya usiku kijuweni kwake wagati wa gahawa ya jioni leo.
Maandamano ya kumuunga mkono Fisadi? Bora kajisemea mwenyewe maana ni aibu huku unachota pesa ya walipa kodi halafu nafsi yako inakupinga.
Nasikia maandamano yalipangwa kumalizwa na ALBADIR nzito ya kuwalaani na kuwaombea wapate MABUSHA wooooote wanaomsema vibaya Rais Fisadi.....! Kudadadeki
Nasikia maandamano yalipangwa kumalizwa na ALBADIR nzito ya kuwalaani na kuwaombea wapate MABUSHA wooooote wanaomsema vibaya Rais Fisadi.....! Kudadadeki
Source ni kwa mujibu wa kauli ya mmoja wa waliotarajiwa kuzungumza ktk maandamano hayo. Yeye ni mhadhiri wa kiislam anaetokea mkoa wa Mbeya
Mkuu umeelewa swali lakini?Source ni kwa mujibu wa kauli maana yake nini hasa?Huyo mhadhiri wa kiislam alikwambia wewe uko kijiweni?And if thats the case sorce ndo kijiwe?Kuwa specific basi mbona hujishughulishi hata kidogo kufikiri?
Wewe Wacha acha kumtukana Rais wangu kwa kumwita fisadi.Tafadhali aisee acha hizo