Political science and public ad. UDSM

Barnaba pro

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2014
Posts
210
Reaction score
13
Habari Wana JF
Naombeni Msaada\ushauri Kuhusu Faculty Ya Political science and public administration ya hapo UDSM.Ninasoma HGL naingia form 6 mwaka huu,napenda sana kusoma hyo facult yan malengo yangu yame rely hapo
So Naomba Mnijuze Kuhusu Merits Ya Hyo Fac. Na Jinsi Gani Ya Achieve My Goals
 
sio Faculty, ni Bachelor/Degree/ Programme.

Ni nzuri sana, though upatikanaji wa ajira umekua mgumu sababu wanaohitim hii course wamekua wengi kwenye market. ukimaliza mitihani jaribu kutafuta Programme archtecture yake uone.

Upo tayari kukutana na Jeriko aka Bendera ya Chuma?, Lupa, Makulilo, Nyirabu, Bana, Muya, na dogo mmoja anaitwa Lodrick
 

sawa mkuu nimekuelewa,,vp kuhusu kupata nafasi hapo UDSM
 
sawa mkuu nimekuelewa,,vp kuhusu kupata nafasi hapo UDSM

This time its less competitive compare to the time we were enrolled, so usiwe na shaka fanya vizuri tu, hadi daraja la tatu unaweza chukuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…