soma pspa, halafu ingia jeshini ,achana ualimu hauna maslahi kabisa salary 589,000/= ,
soma pspa, halafu ingia jeshini ,achana ualimu hauna maslahi kabisa salary 589,000/= ,
great thinkers,nmechaguliwa course ya PSPA udsm lakini nataka nibadili nisome education, naomba ushauri kabla sijachukua maamuzi ya mwisho...
hata usiposoma education,unaweza kuwa mwalimu na kupga hzo change zao.
Kwani wakati unachagua hiyo kozi,ulishurutishwa?
Kozi yoyote ile iliyopo vyuoni ina ajira (kuajiriwa na kujiajiri).
Kapige msuli wa nguvu,huko utapata kujua zaidi fursa unazoweza pata kupitia hiyo kozi unayoisoma.
ushauri mbaya sana
sasa ndogo iyo
Hahaha dogo 589,000/ ndogo sana, wenzio wanapiga 1,500,000/ shauri zako
Hahaha dogo 589,000/ ndogo sana, wenzio wanapiga 1,500,000/ shauri zako
kweli kaka kuna ndugu yangu kasoma hyo pspa but yupo mtaani huu mwaka wa tatu kila akitafuta ajira wanamwambia mpaka awe na uzoefu wa miaka mitano na kuendelea ndo sasa hivi anatafuta nafas aende jeshini
soma pspa, halafu ingia jeshini ,achana ualimu hauna maslahi kabisa salary 589,000/= ,
wewe nenda education asilimia kubwa wamekushauri ivo nami nakushauri lasivyo utacheka ukimaliza.
nenda education kaka ukipata pakujistr utaendelea na mambo mengine.
kama vile nashawishika kuibadili hyo kozi,...ngoja nishauliane na familia kwanza!!