wakati unaichagua hiyo PSPA ishu ya soko la ajira hukuifikiria au ulikurupuka tu kuchagua pspa kwa kufuata mkumbo??? ok,km hujiamini nakushauri kasome education kwani hutohitaji hata kufanya usaili,ukimaliza tu chuo unapangiwa kazi!!!
by the way,mimi nimesoma PSPA udsm na nimehitimu mwaka 2010 na nipo serikalini km Administrative officer!!!
"jipe moyo utashinda"
Itamsaidia sana mleta mada, kama atafuata hilo fungu la maneno hapo juu!!!:yell:Nyie Km Mnataka Kufa Njaa Somen Hyo Course,mtasugua Kitaa Mpk Miaka 10,ushaur wangu soma education,ndo uhakika wa ajira then badae unaangalia ustaarab mwngne,
nimependa sana jibu lako tena limenipa mwanga xo ngoja nipigane kisawasawakila kozi ina changamoto zake,me naamin ni kozi nzuri na ina fursa sawa japo c kipaumbele cha serikali kama ilivyo walimu na madaktari!
"learns against the wall behind the chair and pick one of them get out of comic"
allan great'
nimependa sana jibu lako tena limenipa mwanga xo ngoja nipigane kisawasawa
Dogo elimu haina mwisho kama vp tafuta kwanza ajira ili ujiendeleze baadae mm nilpo maliza six nikajiunga na jesh baadae nikaaply chuo nikiwa ndan ya ajira sahv mambo safi bila kuzunguka na bahasa.....wapowaliokuwa wananidharau kuwa jesh n kujitaftia umaskin lakn leo hii wananitafuta kuwaunganisha... Ww panga malengo yako uwe na msimamo wako
Pamoja sana mdogo wangu,!!
Kuna bahati ya kupata mkopo kwa pspa taker
niliipenda but watu naokutana nao ndo wananiambia haina ajira ndo maana nkaomba ushauri kuhusu ilo mkuu, ila nashukuru kwa mwanga wako
namaanisha kama inatokea kwa bahati hawa pspa kupata mkopo..si unajua kozi ni non priority..Kwanini mkuu, au ukisoma PSPA lazima wakupe mkopo?