Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Lets face it matajiri ndio walipa kodi wakubwa na kwa hali jinsi inavyoelekea inasemekana kuwa kule TRA japo kila kukicha tunapewa stats kuonyesha kuwa kodi zimeongezeka alakini ukweli ni kuwa hizi politics of HATE na VENDETTA zinazoendelea hapa zinatisha watu
Najua kuna jamaa alifanya kazi yake nzuri akapa kamisheni kama dola milioni 5 lakini anaogopa hata kununua Yatch kisa ataambiwa FISADI, mtu haendeshi Vogue mjini ataambiwa ohhh PESA ZA EPA hizo!
Na wanasiasa kama akina PINDA kuwaatisha wenzao wasivae suti ndio mbaya kabisa
Tatizo langu ni la system ya wanasiasa iliyooza na wala si hawa matajiri maana kusema tutarudi enzi za UJAMAA tunajidanganya...na hawa ma investors hawaweza kuja Tanzania kama mnawapiga vita kila kukicha
If anything walio mafisadi ni wanasiasa na vyombo vya kukusanya kodi kama TRA na si matajiri
Tazameni hawa ma oil executives na watu walio na nafasi zao wanacvyojipumzisha kule ABUJA Nigeria..
Hivi mnajua kama Mozambique inaongoza kwa kupoach investers waliokuja Tanzania?
Najua kuna jamaa alifanya kazi yake nzuri akapa kamisheni kama dola milioni 5 lakini anaogopa hata kununua Yatch kisa ataambiwa FISADI, mtu haendeshi Vogue mjini ataambiwa ohhh PESA ZA EPA hizo!
Na wanasiasa kama akina PINDA kuwaatisha wenzao wasivae suti ndio mbaya kabisa
Tatizo langu ni la system ya wanasiasa iliyooza na wala si hawa matajiri maana kusema tutarudi enzi za UJAMAA tunajidanganya...na hawa ma investors hawaweza kuja Tanzania kama mnawapiga vita kila kukicha
If anything walio mafisadi ni wanasiasa na vyombo vya kukusanya kodi kama TRA na si matajiri
Tazameni hawa ma oil executives na watu walio na nafasi zao wanacvyojipumzisha kule ABUJA Nigeria..
Hivi mnajua kama Mozambique inaongoza kwa kupoach investers waliokuja Tanzania?