Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Una uhakika na unachokiongea?au unadandia treni kwa mbele tu...Atabakia kuwa Man Of JF wa Superman competetion na sio Man of Zion Daughter, so tatizo liko wapi?
:hug:Una uhakika na unachokiongea?au unadandia treni kwa mbele tu...
Narudia tena ASPRIN hufai kuwa JF man of year..
Hiyo ni JF -UDAKU sio halisi.JF-HALISI
SAKATA LA WAJUKUU LACHUKUA SURA MPYA....!
-yathibitika wajukuu wote wanamtaka ''babu'' wa kitandani
-mababu wengine watishia mgomo baridi
-waomba nao wapewe wajukuu walau wawili
habari zaidi uk 4
Una uhakika na unachokiongea?au unadandia treni kwa mbele tu...
Narudia tena ASPRIN hufai kuwa JF man of year..
Labda tu dada yangu ungenielewesha tu kwamba treni linadandiwaje kwa mbele? nadhani unatafuta ban tu dada yangu kwa sababu haufahamu power alizonazo mwenye shindano hili. nakuonea huruma.Una uhakika na unachokiongea?au unadandia treni kwa mbele tu...
Narudia tena ASPRIN hufai kuwa JF man of year..
hahahahahahahahahah!.......uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
:hug:
The POWER of LOVE !!!!
Hiyo ni JF -UDAKU sio halisi.
Hujambo lakn bena.Potea wewe sana kulikoni?
Labda tu dada yangu ungenielewesha tu kwamba treni linadandiwaje kwa mbele? nadhani unatafuta ban tu dada yangu kwa sababu haufahamu power alizonazo mwenye shindano hili. nakuonea huruma.
Ninalinda masilahi ya mshiki.labda unaambie huyu Neiwa ndio A.K.A yake.nipo mama...!
missing ya!...
nisaidie basi nimpate Neiwa...!
ongea na mwanamke mwenzio
Kwi kwi kwi kwi !!
yani unanichekesha unavyocheka.sasa wewe unaona anafaa?nipe sifa 3
:hug:Hahahahaa.makubwa!Mtu mzima hatishiwi nyau nyau!!Eti pawa alizonazo mwenye shindano.Wa wapi wewe hivi?Sasa na hiyo bani hapa jf huwa inatolewa kishaghala baghala tu.nimevunja sheria gani mpka nipewe bani?...hebu nikae kimya mie ...kuelewesha watoto ni kazi jamani
Ninalinda masilahi ya mshiki.labda unaambie huyu Neiwa ndio A.K.A yake.
Junior nae hajambo?
1-anapendwa na wajukuu wooote...na ndo wengi wao mliompigia kura
2-anakubalika(babu mkagua)...labda wajukuu wameukubali ukaguaji wake
3-anapendwa na tanzania distlariiz,tbl,sbl,na watengenezaji wa penasol
NEED I SAY MORE?
Umesahau kumwambia navyopendwa na wahudumu wa Etienez, Kingstar, BM, Zero pub, Fyatanga na Fairway.1-anapendwa na wajukuu wooote...na ndo wengi wao mliompigia kura
2-anakubalika(babu mkagua)...labda wajukuu wameukubali ukaguaji wake
3-anapendwa na tanzania distlariiz,tbl,sbl,na watengenezaji wa penasol
NEED I SAY MORE?
junior bomba mamaa...!
hebu chek na avata yangu basi utapata picha...!
hahahahah!
uko mujini we mama lakini?
Umesahau kumwambia navyopendwa na wahudumu wa Etienez, Kingstar, BM, Zero pub, Fyatanga na Fairway.
Mimi ni wa hapahapa usipumbazwe na hizi suti mpya nilizovaa, am just telling u the truth usipotoshwe na ile slogan ya we dare to speak openly!!Hahahahaa.makubwa!Mtu mzima hatishiwi nyau nyau!!Eti pawa alizonazo mwenye shindano.Wa wapi wewe hivi?Sasa na hiyo bani hapa jf huwa inatolewa kishaghala baghala tu.nimevunja sheria gani mpka nipewe bani?...hebu nikae kimya mie ...kuelewesha watoto ni kazi jamani
Ahahahaa.Neiwa kakimbia? pole jamani.labda teamo kapewa fesibuku aidii.Zion D ntakushtaki
Umetufukuzia Neiwa wetu.
Teamo, sorry babu mdogo vipi ulifanikiwa japo kuchukua namba ya simu?
Hiyo avatar huwa naicheki lakn siilewielewi.Hapo nimeelewa G peke yake.
Mie bado nipo kijijini Sitimbi nalima ndokanyi-viazi vya chpsi.Maisha ya jiji magumu