Polls: JF Man Of The Year 2011

Je, Ni Nani Unampigia Kura Kuwa "JF Man Of The Year 2011"?

  • BAK - Bubu Ataka Kusema

    Votes: 19 29.7%
  • Aspirin

    Votes: 29 45.3%
  • EMT

    Votes: 16 25.0%

  • Total voters
    64
  • Poll closed .
odiiem niachie basi huyo NEIWA...!

naona jukuuz wote wanakuja kwako tu....!

nipe na mimi huyo ni mlee

yours"
babu-mdogo
 
lolz. unapenda kujua wewe!
Inawezekana ni ndugu yangu labda nitajie nitakuambia kama namfaham.
Kuna ubaya kukujua? Nachelea kukutaja watu wengine wasijue.
 
odiiem niachie basi huyo NEIWA...!

naona jukuuz wote wanakuja kwako tu....!

nipe na mimi huyo ni mlee

yours"
babu-mdogo
Hahahaha... unaniharibia move bana...

Haya mi naachia wewe, ukishindwa niambie.
 
Nimekubali kutokukubaliana, niko Stockholm Sweden muda huu nikiwa nabofya hii keybord kwa my facebook friend.
Nadhani wewe huna hata sababu ya kuwa na simu ya mkononi.
Sim ya mkononi ya nini wakati nahishi kwa babu,
baba yangu na ndugu zangu wote tunahishi within walking distance
I was born here, so all my friends and schoolmates live here as well.
 
JF-HALISI
SAKATA LA WAJUKUU LACHUKUA SURA MPYA....!
-yathibitika wajukuu wote wanamtaka ''babu'' wa kitandani
-mababu wengine watishia mgomo baridi
-waomba nao wapewe wajukuu walau wawili

habari zaidi uk 4
 
Hahahaha... unaniharibia move bana...

Haya mi naachia wewe, ukishindwa niambie.

sasa Neiwa nadhan hili bandiko ndo umeshalisoma...!

need i say moore?....sidhani...

nadhani tujichimbie pm ili tukubaliane tu kwamba ''ni lini'' na ''ni wapi''....baaaaaaaaaaaaaaaassss:eyebrows:
 
JF-HALISI
SAKATA LA WAJUKUU LACHUKUA SURA MPYA....!
-yathibitika wajukuu wote wanamtaka ''babu'' wa kitandani
-mababu wengine watishia mgomo baridi
-waomba nao wapewe wajukuu walau wawili

habari zaidi uk 4
Waacheni wajukuu wote waje kwangu kwakuwa ufalme wa ODM ni mali yao.
Sim ya mkononi ya nini wakati nahishi kwa babu ODM,
baba yangu na ndugu zangu wote tunahishi within walking distance
I was born here, so all my friends and schoolmates live here as well.
Mweleze mama.... yaani wee ni mali ya ODM. Mweleze ajue kabisa.
 
Mimi ni standard seven Graduate naomba uniulize swali lako kwa lugha ya Taifa, sina umahili sana kwenye hii lugha ya kikoloni.


Unafiki sio mzuri wa kujaribiana kuona member mwenzio atanya nini. Ulitangulia kuniuliza kwa kiingereza nika kujibu kwa kiingereza. maneno yako ya kiingereza katika post tatu za mwisho zinaonesha kua umeelewa maana yangu ila unakwepa kujibu swali. Mahala unapoishi sasa hivi kama wewe ni mkweli panasema umenielewa. Next time hutaki kunijibu sema ila usirafute visingizio Charlie Champlain.
 
Waacheni wajukuu wote waje kwangu kwakuwa ufalme wa ODM ni mali yao.
Mweleze mama.... yaani wee ni mali ya ODM. Mweleze ajue kabisa.
Kha! umebadili maneno yangu bwana!
mi siwezi kuja kwako, ukaguzi 200%.
Ukipona kwa babu anakuokota Kongosho...
 
sasa Neiwa nadhan hili bandiko ndo umeshalisoma...!

need i say moore?....sidhani...

nadhani tujichimbie pm ili tukubaliane tu kwamba ''ni lini'' na ''ni wapi''....baaaaaaaaaaaaaaaassss:eyebrows:
Neiwa likes this.


Mwanzo mzuri kijana wangu. Sasa usisahau kujiita 'babu mdogo" au babu mpya.

Yaani neno babu lisikosekane... sawa eh?
 
Kha! umebadili maneno yangu bwana!
mi siwezi kuja kwako, ukaguzi 200%.
Ukipona kwa babu anakuokota Kongosho...
Yaani ni full ukaguzi, babu akichoka Kongosho asali ya ODM anakamata jahazi.
 
Bahati mbaya mimi si wakukaguliwa.
Slow down baby girl... umesema we bado mgeni sasa mambo ya kukagua umeyajulia wapi tena?.... BTW Teamo hakagui bali anavumbua. Mkaguzi ni ODM peke yake. Go that way akavumbue madini yako.
 
hahahah!......

Neiwa naona umeona mwenyewe....!mimi ni ''babu-teamo'' aka ''babu-mpya''

sasa Neiwa jibu kabisa hizo pm zangu mama

yours'

Babu-Mpya
 
Slow down baby girl... umesema we bado mgeni sasa mambo ya kukagua umeyajulia wapi tena?.... BTW Teamo hakagui bali anavumbua. Mkaguzi ni ODM peke yake. Go that way akavumbue madini yako.

hahahahahahah!...

:hand::hand::hand:........."Hodi" ya MMU haiitikiwi "karibu"................:israel::israel:
 
hahahah!......

Neiwa naona umeona mwenyewe....!mimi ni ''babu-teamo'' aka ''babu-mpya''

sasa Neiwa jibu kabisa hizo pm zangu mama

yours'

Babu-Mpya
Eheee.... safi sana. Sasa usisahau kumgonge na Ma-LIKE ya nguvu. Afu umuulize anaishi wapi na anapendelea kinywaji gani (hii unaulizia kwenye PM tafazali)

Babu wa wajukuu.
 
Slow down baby girl... umesema we bado mgeni sasa mambo ya kukagua umeyajulia wapi tena?.... BTW Teamo hakagui bali anavumbua. Mkaguzi ni ODM peke yake. Go that way akavumbue madini yako.


JF Man of the Year utakua ni msahaulifu sana. Rudi nyuma utakuta umeniita kunikagua na nika decline. Nenda mbele utakuta the so called mvumbuzi anadai kua kuna ukaguzi nae ataka kukagua pia else atavuta mgomo. need I still slow down?
 
Nilikuwa natumia Google Tlanslate, sasa hivi page imegoma kufunguka, kwa nini unaniita mnafki?
 
JF Man of the Year utakua ni msahaulifu sana. Rudi nyuma utakuta umeniita kunikagua na nika decline. Nenda mbele utakuta the so called mvumbuzi anadai kua kuna ukaguzi nae ataka kukagua pia else atavuta mgomo. need I still slow down?
Hilo la ukaguzi si tushaliweka pembeni? sasa hivi twazungumzia Uvumbuzi wa Babu Mpya Teamo wa Amani. Usislow down tafazali, Please hurry kabla mvumbuzi hajarudi mkekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…