Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,165
Jinsi MBU alivyo 'humble'
inakuwa ngumu mno kwangu kusema chochote
all in all Mbu knows nilishiriki kum nominate na jinsi ninavyomkubali
at the same time Kongosho na wengine sitaki kuwa dissapoint..so acha tu shindano liendelee
we are both winners including all mmu members..
Votes zinafungwa saa ngapi?
MH, mbona unawasaliti wanachama wako.
mpe mbu huku halafu kule kwa man of jf umpe babu itakuwa fair kabisa
Jinsi MBU alivyo 'humble'
inakuwa ngumu mno kwangu kusema chochote
all in all Mbu knows nilishiriki kum nominate na jinsi ninavyomkubali
at the same time Kongosho na wengine sitaki kuwa dissapoint..so acha tu shindano liendelee
we are both winners including all mmu members..
sikuabliani na uteuzi wa kongosho hadi ..............
Jinsi MBU alivyo 'humble'
inakuwa ngumu mno kwangu kusema chochote
all in all Mbu knows nilishiriki kum nominate na jinsi ninavyomkubali
at the same time Kongosho na wengine sitaki kuwa dissapoint..so acha tu shindano liendelee
we are both winners including all mmu members..
Aaaaah,kwanini hujachukua nafasi ya FF kwenye woman of the year?
Not fair oh
Naomba hili likiisha lije shindano la best avatar of the year.
Ole wenu nisiwemo.
Ndo maana tumeshauri ama huu uchaguzi usifanyike kabisa au tukubaliane, mmoja awe wa 2011 na mwingine wa 2012....
Hii kamati ya Superman imekosa busara za 1947....Kuna watu hawawezi kupambanishwa bwana....!!
Babu DC!!
Mkuu zama za credit card izi, coin tutaipata wapi?Turushe coin!
....hahaha, am humbled kamanda. Pamoja daima.
Nawatakia kura njema, na wiki njema ijayo 😛oa
Tena raha kweli nikutane na wewe kwenye chao cha kike, hata nikisimama wima ntamaliza haja yangu.
Afu huyo mbu alikutafuna sana nini, naona malaria imepanda.
Hebu we mwenyewe kipipi jiulize, mtu ajiiite MBU na mtu ajiite The Boss nani ataheshimika hapo.
Wewe huoni mimi kila mmoja ananita fazaa, hata kama sio baba yake 😛oa
Dah! Hapa sijui nimpigie nani jamani...
Dah! Hapa sijui nimpigie nani jamani...
@kongosho na kipipi ndio mnazidi kunichanganya. Bora nisivote.
huku ni TB
ntaenda kukuongezea nguvu kwa woman of the year
huyu atajenga bara bara ya mpwapwa ili uweze enda dodoma