@kongosho na kipipi ndio mnazidi kunichanganya. Bora nisivote.
hebu niitie aje aniambie sera zake. Lol! (Leo wapiga kura full mapozi.)
Usiwe na shaka Hus,
Hauko peke yako....Kuna BJ, Chauro, Babu DC na wengine kibao ambao tunapeleka petition kwa Superman ili something ifanyike kuzuia hii kura isiyo na tija kwa MMU....
Hivi unaweza kuwapambanisha identical twins na bado ukasema uko fair and impartial!!
We love our one and only one MMU ......na hii kura haina tija,
Babu DC!!
Usijisumbue Hus,
Hii voting itakuwa nullified muda si mrefu....
Babu DC!!
dah! Bora babu umenitoa hofu. Yaani hapa ni utata mtupu.
Huyu superman huyu,
He is not a good man any more!!
Lazima apelekwe mbele ya tume ya ukweli na maridhiano kujieleza!!
Babu DC!!
tatizo hajatafuta ushauri wa wadau. Mambo yasingekuwa hivi. Babu ulikuwa wapi hujamshauri?
Nimeongea naye sana ila sijui kwa nini amefanya miscalculation ya ajabu kiasi hiki...
With more voices...lazima ataelewa sasa kwama hii ni kasa (toxic deal)!!
Babu DC!!
@kongosho na kipipi ndio mnazidi kunichanganya. Bora nisivote.
hivi unaweza kuniambia kwanini hujamuweka husninyo kwenye mmu tumpigie kura? naongea na superman.
TB anabamba kwa mambo ya small houses tu kuongeza disaster kwenye families.......lakini Mbu ni kwa mapwenti yenye busara na full ujazo kwa wale wote wenye mapenzi mema!!!! Vote for Mbu, mwanakwetu.......vote for Mbu!
Usijisumbue Hus,
Hii voting itakuwa nullified muda si mrefu....
Babu DC!!
Tena raha kweli nikutane na wewe kwenye chao cha kike, hata nikisimama wima ntamaliza haja yangu.
Afu huyo mbu alikutafuna sana nini, naona malaria imepanda.
Hebu we mwenyewe kipipi jiulize, mtu ajiiite MBU na mtu ajiite The Boss nani ataheshimika hapo.
Wewe huoni mimi kila mmoja ananita fazaa, hata kama sio baba yake πoa
...hahaha, Kwakuwa Arsenal imefufuka au? Usitake nitafute pa kujificha j4...:eyebrows:
babu, nominations zilifanywa hapa kwa uwazi kabisa.
Na haya ndo majina yaliyopendekezwa
tusimlaumu superman moja moja kwa moja
unless tulitaka atupangie kwa kuchagua
hiyo ingekuwa sawa na kupanga mshindi.
Hii ni burudani zaidi kunapokuwa na utata.
Ndio fun yenyewe
unless mnawatizama usoni, lakini katika ushabiki lazima unapaka wa kushabikia.
Ulishawahi cheza karata peke yako? Au bao?hizo hizo timu zako, kuna moja unaishabikia.
Mie Mbu ni mshabiki wake, lakini kwa leo niko timu ya The Boss.
Kwa hiyo Babu, acha kupinga, kuna baadhi utawatingisha hasa wajukuu zako wadogo wadogo
Hili ni jaribio baya sana Kaka/dada Kongosho....
Ni rushwa/ufisadi unataka kumtembezea Babu!!
Hadaganyikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!
Babu DC!!