Pombe gani inayolewesha sana,kwangu naona valuer imedunda?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Wakuu,

Nakunywa valuer daily but silewi kabisa.

Mbadala wake ni pombe gani hivi?
 
Wanasema weka kipande cha tissue paper ndani ya chupa ya pombe
 
Value changanya na metacafine vidonge viwili....alafu tulia kidogo kama sio wewe hivi
 
Ukiona mpaka pombe kali hulewi.. jua pombe inakaelekea kukuondoa duniani..

Maana utakunywa nyingi zaidi ili uelewe na ini lako litashindwa kuhimili
 
Kweli vichwa vinatofautiana huku wengine castle lite 3, tu ni shida.
 
Chukua hii mkuu,
Ukimaliza Hii chupa Utanishukuru baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…