MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,267
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Mungu anakuona!Gongo
Chang'aa
Mnazi
Viroba
Ile pombe inayoitwa john haa haa walker
Pombe ya Chato
Mungu anakuoanaKila glass utakayoimimina ichanganyie na matone kadhaa ya mkojo wa mlevi nakuapia hutockia harufu yyte.
Anafanyaje kuacha kwa mfanoUlevi ni maangamizi juu yako achana na ulevi mkuu
[emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Pombe Aina ya Juma Ponda Mali
Pombe Aina ya Juma Ponda Mali
umeniwahiULANZI.......
Mbagala Kiburugwa Kwa Mama TemboJamani hio kimpumu Kwa hapa Dar mfano inapatikanika sehemu Gani nimeanza kusikia hio pombe siku nyingi nikajionee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna pombe fulani inaitwa Kimpumu
Hiyo ukinywa, nyuki wanaanza kukiandama kinywa chako wakidhani ni maua, kutokana harufu nzuri ile ya pombe...
Nakushauri tumia hiyo pombe mkuu unaweza ukatengeneza mzinga wa nyuki, ukajipatia asali yako.
Sminofu AISI
Ile pombe inayoitwa john haa haa walker