[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kuna pombe fulani inaitwa Kimpumu
Hiyo ukinywa, nyuki wanaanza kukiandama kinywa chako wakidhani ni maua, kutokana harufu nzuri ile ya pombe...
Nakushauri tumia hiyo pombe mkuu unaweza ukatengeneza mzinga wa nyuki, ukajipatia asali yako.
Kweli hata mie natumiaga sana mbinu hiiKila glass utakayoimimina ichanganyie na matone kadhaa ya mkojo wa mlevi nakuapia hutockia harufu yyte.
Pombe ya mwishomwisho lazima iwe inateleza. Manake sipati picha mate yanayorudi na mirija.
Ukikosa jibu huku mkuu nakushauri umtafute kitwanga atakuambia,Habarini wakuu?
Natumaini kama umefanikiwa kusoma ujumbe huu we ni mzima wa afya. Kama title inavyojieleza hapo juu kwanza nianze kwa kuomba ushauri mimi ni kijana wa umri wa kati nilianza kunywa pombe nikiwa na umri mdogo sana nakumbuka nilianza nikiwa form two bila shaka.
Wakati mwingine sikuweza kufanya mitihani shuleni mpaka ninywe pombe kwanza , sasa niende kwenye mambo ya msingi mawili yalio nifanya ni create hii thread kwanza nawezaje kuondokana na huu uteja pili nipombe gani naweza kunywa ambayo haiachi harufu mdomoni ambayo naweza kunywa na kuendelea na kazi zangu bila yeyote kusikia harufu hata wakati nitakapo msogelea.
Au sio mtoto wa NjOSumeniwahi
NimechekaaaaaUsiombe usaidiwe, maanake namna ya kufanya inategemea na uzito[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Tuko wengi watoto wa njossAu sio mtoto wa NjOS
My thought exactly! He is an alcoholic without a doubt.mkuu kama unataka kweli kuacha usingetafuta isiyokua na harufu manake hiyo ni strategy ya kuwa bwax kila mara bila kugundulika.