Hii whiskey ni Kali sijui watu wanamudu vipi kuinywa kuna vinywaji huwa najiuliza vililetwa kwaajili yetu au Kuna ma alien yanakunywa kisirisiri..😂Hanson's choice
[emoji28] kinywaji changu pendwa naanza hiki na maji madogo ya baridii naanza vuta Castle lite kama 15 natembea sasaHii whiskey ni Kali sijui watu wanamudu vipi kuinywa kuna vinywaji huwa najiuliza vililetwa kwaajili yetu au Kuna ma alien yanakunywa kisirisiri..[emoji23]
Mkuu unaua maini kizembe sana hizi spirit kuwanazo makini sana sio zakuzoea[emoji28] kinywaji changu pendwa naanza hiki na maji madogo ya baridii naanza vuta Castle lite kama 15 natembea sasa
Ukalale ushalewa faller weweWanywaji hili mnalifahamu vizuri kuwa pombe hainaga majina mabaya, majina yake ni mazuri mfano Common, Washington, Kiboko, mamba.
Sasa na wewe kama unafahamu majina mazuri yanayosumbua huko baa share hapa tuzidi kudumisha utamaduni wa mwaafrika ndugu zangu
Mara chache mkuuMkuu unaua maini kizembe sana hizi spirit kuwanazo makini sana sio zakuzoea