Pombe ina uhusiano gani na kelele?

Pombe ina uhusiano gani na kelele?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Siku moja nilimsikia mtu mmoja akisema kuwa kama angekuwa na redio kubwa kama ya rafiki yake fulani, asingeenda kunywa pombe baa. Angekuwa anazichukua na kwenda kuzinywea nyumbani kwake akiusikiliza muziki mzito kutoka kwa "liredio" lake.

Miziki pia inaonekana kama ni kitu cha kawaida baa. Hiyo ni kulingana na "observation" yangu binafsi. Baa nyingi nilizoziona zina miziki.

Ni kwa nini inakuwa hivyo? Kuna uhusiano wowote Kati ya unywaji pombe na kelele?
 
Kila kitu kina uhusiano wake kama ilivyoibada na utulivu, baasi hvyo hvyo tungi na makelele mpk hamsikilizani ila mnaelewana 😂
 
Ukituona tunavyohama kiwanja kimoja kwenda kiwanja kingine kutafuta kiwanja kinachobamba utadhani kikiwa kinabamba ndio hizo pombe tunapewa bure.

Na kuna siku hata shetani hataki mtu ulewe. Unajikuta usiku kucha unahama tu viwanja kila kiwanja unaona kimepoa hadi inafika saa 11.
 
Hela hazitaki na hazina kelele, ukiwa bado unakunywa pombe sehemu zenye kelele, tafuta hela
 
Siku moja nilimsikia mtu mmoja akisema kuwa kama angekuwa na redio kubwa kama ya rafiki yake fulani, asingeenda kunywa pombe baa. Angekuwa anazichukua na kwenda kuzinywea nyumbani kwake akiusikiliza muziki mzito kutoka kwa "liredio" lake.

Miziki pia inaonekana kama ni kitu cha kawaida baa. Hiyo ni kulingana na "observation" yangu binafsi. Baa nyingi nilizoziona zina miziki.

Ni kwa nini inakuwa hivyo? Kuna uhusiano wowote Kati ya unywaji pombe na kelele?
Mimi nimeacha pombe sababu ya kelele za bar. Na ambavyo nisivyopenda kelele niliamua kuchagua fungu jema
 
Wamegusa sekta yako 😹
juzi tu hapa nilikuwa napiga kelele halafu tunaemsubiri hajafika! wakaona hili jamaa akifika huyo tunaemsubiri si ndo itakuwa tafrani..🤣
nikawakata jicho nikatulia dakika kadhaa nikaanza tena!,alivyokuja mtarajiwa wetu hao waliokua wanajiona wapo sawa wakawa wanashindwa kuongea mi nikaingilia kati nikaongea na kila kitu kikawa sawa zoezi likaisha chap...😂
 
Ukituona tunavyohama kiwanja kimoja kwenda kiwanja kingine kutafuta kiwanja kinachobamba utadhani kikiwa kinabamba ndio hizo pombe tunapewa bure.

Na kuna siku hata shetani hataki mtu ulewe. Unajikuta usiku kucha unahama tu viwanja kila kiwanja unaona kimepoa hadi inafika saa 11.
kumbe nawe mlandukaji...🤣
 
Back
Top Bottom