inakuaje mtu anakunywa pombe alafu akili inachangamka au kuvulugika (wengi mtakuwa mmeelewa ninachomaanisha)
utakuta mtu anaogopa kufanya au kusema jambo flani akiwa katika hali ya kawaida,lakini akilewa analitenda au kulisema! je ni namna gan pombe inampa ujasiri huo!?