Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
Wana-JF, Heshima mbele!
Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????
Is it scientifically proved? Je wasiokunywa pombe inakuwaje, ama ndo iption ya KIFARU!
hahahah Sina cha kuongeza hahaha tetetete
Wana-JF, Heshima mbele!
Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????
Is it scientifically proved? Je wasiokunywa pombe inakuwaje, ama ndo iption ya KIFARU!
hahahaaaa! hahahaa tehe tehe - kubali yaishe. lakini labda uwe unakunywa ukijipanga kichwani, la sivyo haifanyi kitu, si unajua kila kitu kipo kwa kichwa?Kwa sisi wazoefu hatuhitaji msaada wa pombe. Kitu mwakemwake wakati wowote. Ila ukilamba ka valeur, tuache masihara kina dada huwa wanapata habari yake.
Kwa sisi wazoefu hatuhitaji msaada wa pombe. Kitu mwakemwake wakati wowote. Ila ukilamba ka valeur, tuache masihara kina dada huwa wanapata habari yake.
Kwa sisi wazoefu hatuhitaji msaada wa pombe. Kitu mwakemwake wakati wowote. Ila ukilamba ka valeur, tuache masihara kina dada huwa wanapata habari yake.
unajidai....huna lolote.
Kwa sisi wazoefu hatuhitaji msaada wa pombe. Kitu mwakemwake wakati wowote. Ila ukilamba ka valeur, tuache masihara kina dada huwa wanapata habari yake.
ee bwana tuko pamoja!hii kitu iliwahi kuniletea matatizo
hapa ta mie sina la kuongea
wakati wa ujana wangu,nilikamata valuu,nikamix na redbull,expecting kwamba mchuchu atakuja.Mara hakutokea,alitaitiwa kwao.matatizo gani?
wakati wa ujana wangu,nilikamata valuu,nikamix na redbull,expecting kwamba mchuchu atakuja.Mara hakutokea,alitaitiwa kwao.
Vip,are u interested to know what happened thereafter?