Pombe Kali na Mapenzi!

Katikomile

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2007
Posts
471
Reaction score
74
Wana-JF, Heshima mbele!

Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????

Is it scientifically proved? Je wasiokunywa pombe inakuwaje, ama ndo iption ya KIFARU!
 
Wana-JF, Heshima mbele!

Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????

Is it scientifically proved? Je wasiokunywa pombe inakuwaje, ama ndo iption ya KIFARU!

Unajua mapenzi yana uhusiano mkubwa sana na mind, sasa ukipiga pombe kali unachukua muda mrefu sana lakini pia hautakuwa una-enjoy kwa kuwa mind tayari inakuwa disturbed. Menu ya kueleweka na mazoezi kidigo yanakufanya uweuna-enyoy kuliko hizo pombe kali.
 
Kwa sisi wazoefu hatuhitaji msaada wa pombe. Kitu mwakemwake wakati wowote. Ila ukilamba ka valeur, tuache masihara kina dada huwa wanapata habari yake.
 
Wana-JF, Heshima mbele!

Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????

Is it scientifically proved? Je wasiokunywa pombe inakuwaje, ama ndo iption ya KIFARU!

Tatizo baada ya hapo, je unabaki na any memory of what you have done? umeshajiuliza madhara ya state unayokuwa nayo ukiwa na konyagi au other spirits - ni hivi, unaaza kuwa careless, na cha ziada ni kwamba kwasababu ya kuchelewa kumaliza, unaanza kuvua ili umalize yaishe!!!

Take it from me, it is a very risky behaviour!!
 
Kwa sisi wazoefu hatuhitaji msaada wa pombe. Kitu mwakemwake wakati wowote. Ila ukilamba ka valeur, tuache masihara kina dada huwa wanapata habari yake.
hahahaaaa! hahahaa tehe tehe - kubali yaishe. lakini labda uwe unakunywa ukijipanga kichwani, la sivyo haifanyi kitu, si unajua kila kitu kipo kwa kichwa?
 
Kwa sisi wazoefu hatuhitaji msaada wa pombe. Kitu mwakemwake wakati wowote. Ila ukilamba ka valeur, tuache masihara kina dada huwa wanapata habari yake.


True mkuu, ni weli wanaipatapata, na miharufu ya pombe pia mazee!
 
Kwa sisi wazoefu hatuhitaji msaada wa pombe. Kitu mwakemwake wakati wowote. Ila ukilamba ka valeur, tuache masihara kina dada huwa wanapata habari yake.


unajidai....huna lolote.
 
Ile kitu utamu wake unakolea zaidi ukiifanya ukiwa na akili timamu, unaisikilizia na akili zako zote bila kuingiliwa na pombe, hapo mwana unainjoi. Lakini ukinywa pombe bwana unadumu sana ndio lakini hufurahii, yaani unakuwa kama unalima vile, mechanically tu bila akili kupata starehe yake.
 
Kwa sisi wazoefu hatuhitaji msaada wa pombe. Kitu mwakemwake wakati wowote. Ila ukilamba ka valeur, tuache masihara kina dada huwa wanapata habari yake.

ee bwana tuko pamoja!hii kitu iliwahi kuniletea matatizo
 
matatizo gani?
wakati wa ujana wangu,nilikamata valuu,nikamix na redbull,expecting kwamba mchuchu atakuja.Mara hakutokea,alitaitiwa kwao.

Vip,are u interested to know what happened thereafter?
 
wakati wa ujana wangu,nilikamata valuu,nikamix na redbull,expecting kwamba mchuchu atakuja.Mara hakutokea,alitaitiwa kwao.

Vip,are u interested to know what happened thereafter?


Bafuni bila shaka kama si housegirl!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…