Pombe Kali na Mapenzi!



thank u a lot.
 
Kuepusha kero, pombe usinywe ya kulewa, hafaru kama vipi swaki kabla ya gem
 
Wana-JF, Heshima mbele!

Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????

Is it scientifically proved? Je wasiokunywa pombe inakuwaje, ama ndo iption ya KIFARU!


si ujaribu then upate majibu? miili inatofautiana
 
Hii mi sijui kama ni kweli,coz nimeshajaribu tumia lakini mashine inasimama nikitaka ku doo inalala,yaani ninamawazo ambayo sijui nitayamalizaje,i cant overcome this situation!!

Vp Mkuu mawazo yameisha!
 
ole wenu mnaotumia pombe kali kuongeza ufanisi kwenye tendo la ndoa.............!
 

Suala si kumkomoa Mwanamke, japo kuna wengine wenye mtazamo huo! Suala hapa ni kwa wale wanaowahi kumaliza, na hivyo kutomtendea haki mwenzio1 Yaani ukiingia tu kwenye gemu hata kipenga hakijalia ushamaliza! Na hii ndio maana nikauuliza je, kuna haja ya kupiga pombe kali ili kwenda sawa? Kuna ukweli wowote katika hili?
 
UNAJUA MASWALA MENGINE HAYAITAJI VIFUNGU!...ni common sense

usinywe valuu ukijiandaa kwamba unaenda kupiga mashine...!NI UDHAIFU MKUBWA SANA
LEO UNAKANA HII KITU??
maana ulikua unashabikia sana valuu!,
anyway hivi vitu kweli kiafya si vizuri sana, na ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi,
piga idadi ndogo tu kiafya na umfikishe mwenzi wako kunako husika,
unataka kupiga goli 7 za nini??, LOL.
 
tuelezeni ufundi wenu woooote mkimaliza tutawaambia ni nani zaidi
 
Wana-JF, Heshima mbele!

Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo??????

Is it scientifically proved? Je wasiokunywa pombe inakuwaje, ama ndo iption ya KIFARU!

Kwa hiyo kwa wale walokole ambao tuna-aleji na ulabu inabidi kabla ya gemu 2le ki1 kati ya hivi:
1. Supu ya pweza
2. Maziwa
3. Tende (halua vp hapa nayo?)

Au kuna kingine hapa cha kuongeza?
 
kwa maana hiyo ina maanisha hata sisi walokole haturidhishani
 
kuliko mapombe si bora utumie vodafasta ya masai chapu chapu na dada lazima akome
 
kuliko mapombe si bora utumie vodafasta ya masai chapu chapu na dada lazima akome

Kuna baa moja pale Kinondoni nje Hunters inaitwa G8.....Yaani pale unakuta watu wanakunywa bia wanashushia na mizizi fulani hivi ya kuongeza nguvu za kiume!
 
Sex na Pombe - Inahamasisha hamu (Ny**e) Inaondoa Ufanisi katika Tendo!🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…